cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,169
Mbna huo wa Yanga ambao uko na akili, ulimshindwa Mc Alger, tena hapo kwake kwa mkapa.Uchezaji wa timu ya simba ni wa kipumbavu Sana. Muda wote wachezaji wanaweza kurudisha mpira nyuma. Kiungo akipokea mpira hawazi kupeleka timu mbele, yeye anawaza kurudisha mpira Kwa mabeki.
Mabeki wakipata mpira hawapeleki mbele wanawaza kumrudishia kipa.
Kama ni mfumo wa kochaz, Basi kocha ni mpumbavu
Hivi ubora wenu ni kwa Simba na ligi kuu mliyodhamini team 8?




