Fadlu hatomaliza miezi 6 pale Raja Casablanca

Fadlu hatomaliza miezi 6 pale Raja Casablanca

Wabongo mnaombeana njaa sana. Hapo utakuwa unafunga na kuomba ulichoandika kitimie ili useme si nilisema.

Kama wewe ni shabiki wa Simba angalau onesha shukrani kwa mafanikio madogo aliyowaachia kama yeye alivyowashukuru kwa support mliyompatia.
 
Hamna kocha pale miezi sita yote hyo rulani mokwena hajafikisha hata huo mda
 
Nadhani amekimbia changamoto za ligi Fadlu. Ila alikoenda amechemka angeenda team ndogo siyo kubwa.

Bado uwezo wake si mkubwa kiasi hicho namwonea huruma atafukuzwa huko Raja.
Fitna za Simba na Kitanzania zimemkimbiza.Huko anaweza kikaa hadi atakapoamua mwenyewe kuondoka.
 
Back
Top Bottom