Fadlu badilika ama ubadilishwe

Fadlu badilika ama ubadilishwe

Uchambuzi wa kipuuzi huu.... Yaani umeshindwa kutambua kuwa timu ilikuwa na fatigue kutokana na mechi za CAF????.....
 
Mkuu naheshimu mawazo yako, lakini umeshindwa kutambua kama kikosi kimechoka sasa hivi kutokana na kucheza mechi ngumu mfululizo... Timu inakata pumzi kwa sababu ambazo zinaeleweka.
Waliposema wachezaji wapumzike kwa masaa 72 kabla ya kucheza mechi nyingine walimaanisha nn?
 
Umejawa hofu ya kufungwa kiasi ni kama unazuia wachezaji kuchakarika.

Imani yako kwa Mohamed Hussein, Fabrice Ngoma inaigharimu Timu.

Kibu D ana maguvu Lakini achezi kitimu. Umeshindwa kumuelekeza kuwa akicheza kitimu Simba itafaidika zaidi?

Ahoua anajua kucheza mpira Lakini hachezi kimpira. Afunzwe kuwa kipaji chake kinatakiwa kiinufaishe Timu . Asicheze kama yupo mazoezi.

Kupoteza muda ni sehemu ya mbinu mojawapo ya kimpira. Lakini sasa kipa Moussa Camara anaitumia vibaya hadi anaua morali ya uchezaji kwa wenzake.

Timu haina Kasi inayotakiwa na ikifunga bao moja tu ndiyo uzingativu hupotea. Yaani Simba ikishinda bao Moja inaanza kujilinda badala ya kutafuta bao jingine.

Kapombe na Mohamed Hussein wafundishwe kurusha mipira Kwa wakati. Mpira ukitoka wao huchukua mpaka sekunde 45 kuurusha, matokeo yake wapinzani hupata muda wa kujipanga!
Yaani Kibu D mwenye miaka 35 uje leo umfundishe kucheza kitimu, kitu ambacho anafundishwa mtoto wa miaka 6 mpaka 8 ???
Siye tuvumiliane hivyo hivyo maana ndo urefu wa mfuko ulipofika..
 
Na mechi walichezea Zanzibar tu hapo!
Natamani wangeiga ile model ya ulaya kama walivyofanya Ghana nafikiri kabla ya world Cup 2010.
Mwaka huu wakati real inajiandaa na game ya marudiano vs arsenal. Waliomba mechi yao iahirishwe mpaka UEFA game ipite.
Chama cha soka cha Spain kiliwakatalia kwamba hayo ni masuala binafsi ya club
Hapa kwetu viporo kisa kushiriki michuano ya kimataifa. Utaepuka vipi match fixing hapo??
 
Ligi ilipofikia inahitaji zaidi mbinu za kushinda mchezo kuliko show game point 3 muhimu
 
Umejawa hofu ya kufungwa kiasi ni kama unazuia wachezaji kuchakarika.

Imani yako kwa Mohamed Hussein, Fabrice Ngoma inaigharimu Timu.

Kibu D ana maguvu Lakini achezi kitimu. Umeshindwa kumuelekeza kuwa akicheza kitimu Simba itafaidika zaidi?

Ahoua anajua kucheza mpira Lakini hachezi kimpira. Afunzwe kuwa kipaji chake kinatakiwa kiinufaishe Timu . Asicheze kama yupo mazoezi.

Kupoteza muda ni sehemu ya mbinu mojawapo ya kimpira. Lakini sasa kipa Moussa Camara anaitumia vibaya hadi anaua morali ya uchezaji kwa wenzake.

Timu haina Kasi inayotakiwa na ikifunga bao moja tu ndiyo uzingativu hupotea. Yaani Simba ikishinda bao Moja inaanza kujilinda badala ya kutafuta bao jingine.

Kapombe na Mohamed Hussein wafundishwe kurusha mipira Kwa wakati. Mpira ukitoka wao huchukua mpaka sekunde 45 kuurusha, matokeo yake wapinzani hupata muda wa kujipanga!
Wewe ni nani???
 
Back
Top Bottom