FACT: Mwanamke akienda "body massage" kuwa makini

Kasugugu

JF-Expert Member
Sep 8, 2013
214
98
Wakuu naskitika kuyasema haya, ila ukweli ni huu mkeo akikuaga anaenda kufanya "body massage" na maseur (mfanya massage) awe mwanaume kuna 100% chance ya kuchapiwa.

Take it or leave it
 
Aaa sa hapo cha ajabu kipibau mwanaume gani atakataa kama sio boya....massaj akafanyiwe huko na mwanaumwe na wewe mume upo ...huo upumbavu hata mimi kama nafanyIa wanawake massaj its obvious ntawachapa maana massaj inampa nyege.....af sasa achilia mbali ufundi wa masaj....kama ulimuwa unatuhusi mkeo kufanyiwa we una matatizo ya akili ya mahusiano
 
Hahaha hapo sasa.......mwanamke naye anakubali mumewe akafanyiwe af aje kulalamika mme kam cheat...yani mahusiano yabsiku hizi bhana watu hawajui wajibu wao .....ustaarabu sijui ndio uawafanya waone shida kufanyia wenza wao masaj...
 
Aaa sa hapo cha ajabu kipibau mwanaume gani atakataa kama sio boya....massaj akafanyiwe huko na mwanaumwe na wewe mume upo ...huo upumbavu hata mimi kama nafanyIa wanawake massaj its obvious ntawachapa maana massaj inampa nyege.....af sasa achilia mbali ufundi wa masaj....kama ulimuwa unatuhusi mkeo kufanyiwa we una matatizo ya akili ya mahusiano
Mkuu unashangaa nini hapo?? Weekend kama hivi walikua wanajaa tele cna uhakika kama wote walikua married ila weng nlokutana nao ni wake za watu na wanapenda massage sana tu, wengne kat kat ya wiki wengne wanatoroka makazini hadi unashangaa
 
iv mkiwaga mnatakag kwend huko messej huwaga mnaagaje vile????? hakuna mtu anaeaga Kwenda huko ila tu mnapita kona mpaka mnafika huko,. alaf mnablame blame et unamwach mwenza kaenda kufanyiw mesej hakunag kitu km hko,.
 
Wakuu naskitika kuyasema haya, ila ukweli ni huu mkeo akikuaga anaenda kufanya "body massage" na maseur (mfanya massage) awe mwanaume kuna 100% chance ya kuchapiwa.

Take it or leave it
Mbona wanaume wanaenda na wanafanyiwa na wanawake
 
Hii kitu niliwahi kujaribu aisee ilikuwa balaa maana wale mabinti ni mafundi hatari yaani mihemko ilinipanda mpaka uzalendo ulinishinda...
 
Hahaha hapo sasa.......mwanamke naye anakubali mumewe akafanyiwe af aje kulalamika mme kam cheat...yani mahusiano yabsiku hizi bhana watu hawajui wajibu wao .....ustaarabu sijui ndio uawafanya waone shida kufanyia wenza wao masaj...
Pole sana afande , hivi ule wajibu wa kumlipia ada mwanadunzi ifm ulikuwa ni wa nani? Hongera kwa kujua wajibu wako
 
Ule aisee wajibu wako na mimi mkuu... Tukutane screen server pale tukalipie
Screen saver siku hizi hakuna issue, yaan tokea walipoleta mambo ya dress code, pamekuwa pa kinaa. Kitaa kizuri airport au mti wa supp.(pale kila mtu ana adabu).
 
Back
Top Bottom