NN, nadhani fb imeshapita potential yake... Imekuwa kubwa kila mtu pale all nonsense...me nilichia ngazi zaidi ya mwaka sasa. Muundo wake sio sustainable..IG ndio flagship Yao kwa sasa. Fb itakufa kama MySpace, hi5 n the likes...plus ukiwa fb unaacha bonge ya footprint ambayo itaku-haunt baadae