Facebook

everybody is on FB.! PLANNED or ACCIDENTALLY
 
Kiukweli hata mi siipendi fcbook sana nasubiri siku ntayotoka huko maana only ma boy keeps me there mmh
 

kama unalia wivu hivi?!
 
Kwanini?...mim nilijitoa fb tangia 2011 na sitarajii kurudi uko...

hahahaaa!! bila shaka ulipata pigo huko! so now uko badoo!!

yote sawa tu!

aliyeogea nje na aliyeogea ndani, wote wametakata!
 
Sasa huyu Nyani anawezaje kuona kinachoendelea Facebook kama hajajiunga? Au ndio mashauzi classic?

aliingia kuicheza ngoma! sasa mdundo umempoteza!
 
hahahaaa!! bila shaka ulipata pigo huko! so now uko badoo!!

yote sawa tu!

aliyeogea nje na aliyeogea ndani, wote wametakata!

wala sikupata pigo bali niliamua tu baada ya kuona sivielewi vijimambo vya fb...na uko badoo wala sipajui..na wala sitaenda uko...yani siko kwenye social network yoyote zaidi ya JF..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…