Mmmh huko iko maneno bana!!!!!
My wife kamuweka mtoto on his birthday na comments zote were;hongera umekuza,Mungu akutunzie,sijui nini na nini yaani as if mimi sikushiriki kumlea nikajua ooookey hata wanaotujua jamani they didnt say hongereni mmekuza!!!!!
NN uko sahihi kiasi fulani