Facebook na WhatsApp kubanwa kwenye Iphone (iOS 13)

General Mangi

JF-Expert Member
Dec 21, 2013
15,300
23,022
Kampuni ya Apple kuzibana Apps zote zinazotumia internet kwenye kupiga simu kama WhatsApp, Telegram, facebook nk katika iOS yao mpya iOS 13 itakayozinduliwa Septemba mwaka huu
Huamuzi huu ni kulinda faragha kwa mtumiaji

Facebook na WhatsApp wamepewa muda wa hadi Aprili 2020 kubadilisha mfumo wao wa App zao kutumia internet kupiga simu.

Je nani ataathirika zaidi?

Je WhatsApp na Facebook wakidindia hawa Apple nani ataathirika?

Binafsi mimi huu uamuzi wa Apple ni wa hovyo na wakifanya hivi nawakimbia.

 
Uamuzi mzuri sana huu android wanasubiri nini kuiga, kwanza itapunguza gharama.
.
Shootout to Apple
 
Sasa huoni mkuu kutumia internet Ni Bei rahisi zaidi kuliko kuunga dakika za kawaida? Watakapotoa matumizi ya internet kupiga simu utatumia gharama nyingi zaidi?
Nilidhani itakuwa cheap zaidi, nimefikiri hivi.
.
Data zitakuwa zikitumika kwenye vitu vingine vyote ila likija suala la kupiga ama kupokea simu via mtandao husika mfano Telegram basi itakuwa data free!
 
Sasa utatumiaje hiyi mitandao bila internet? Kama ni hivyo basi wangeanza na Faceapp ili ipate soko zaidi maana watu wote wangehamia huko
Inawezekana mkuu kutumia Calls za WhatsApp, Telegram n.k bila data
 
Sasa huoni mkuu kutumia internet Ni Bei rahisi zaidi kuliko kuunga dakika za kawaida? Watakapotoa matumizi ya internet kupiga simu utatumia gharama nyingi zaidi?
Ndo namshangaa huyo jamaa..mm kuna mtu nilikuwa naongea nae sana kwa siku hadi 3hrs kwa mara moja nilikuwa natumia hela nyingi nikaja gundua kwa kupiga kwa wasap ..ni mb chache sana
 
Back
Top Bottom