Adolph
JF-Expert Member
- Sep 26, 2010
- 895
- 346
Wadau naombeni msaada..tokea jana nikifungua facebook kwa ku2mia moderms za voda inakataa.nimejaribu kutumia airtel na tigo inafunguka bt kwa kutumia moderms za voda inakataa.kinachoshangaza ni kwamba vitu vingine vinafunguka vizuri..naombeni msaada wadau