facebook is still alive. anonymous failed

facebook is still alive. anonymous failed

newtonfox

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2011
Posts
217
Reaction score
93
facebook is still alive. anonymous failedwhat happen? thought anonymous will hack facebook today? what do you think happen?
 
Why would they want to hack Facebook? Aren't they supposed to fight for users and not against them?
 
They cancelled the plan long time ago. Kulitokea misunderstanding among them whether they should do it or not.
 
Anonymous mostly ni wapumbavu tu, wanadownload vitu kwenye net na kuvirun wanajiita hackers na hawana uwezo wa kuishusha facebook hata siku moja.
 
walishinda amazon mwaka jana kwamba ati hawana enough force mi ni nadhani rulzsec ndiyo kiboko yao
 
nina uhakika hakuna mtu au kundi linaloweza kuihack facebook in the near future.....mayb twitter ntakubali
 
nina uhakika hakuna mtu au kundi linaloweza kuihack facebook in the near future.....mayb twitter ntakubali

Du! what a bold statement. What makes you so sure? Ulishiriki katika kudesign security system yao?
 
Back
Top Bottom