Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,974
- 13,431
- Thread starter
-
- #41
hahahahahahahahahahahahaha sio hivyo mkuu kulia kwa furaha kama pale unapofurahia timu yenu kuchukua ubingwa unafurahi mpaka unatoka na machozi.Nalog offWewe naye bana; hilo tu nalo linakuliza? Unalialia tu kama demu.
nimeusikia lakini sio kwa lugha ya kizungu.Nalog offI just want to know your name....follow me on twitter and be my friend on facebook...
Umeshawahi kusikia huu wimbo?
sawa mkuu tutaonana.Nalog offNa Sign out
washawashaupupu at yahoo.com.Nalog offupupu!
hahahahahah na kujifanya john kisomo.Nalog offmimi nisha kustukia ila basi tu kwani mambo yako ya kushtakshtaki kwa walimu ulikua unaniboa.
nashukuru bi dada,inawezekana tumesoma wote.Nalog offHongera mkuu..
sera entrega,ni kweli mkuu JF ni babkubwa 😛oamaana tunakandiana,tunashushuana na mengine mengi kwasababu tuko kininjaninja ni vigumu kujulikana.Nalog offNajua inafurahisha kwani unakutana na watu mbalimbali. Hasa wewe ambaye uko nje ya TZ. Ukilog on.... Unawaona baadhi ya rafiki zako. Sijui labda uingie kwenye groups utapata mambo ya maana..na yenyewe inategemea na group. Ukiwa maarufu kulizwa ni rahisi pia,maana kule wengi wanaweka majina yao halisi na picha. Humu JF tunashare ideas,mitazamo,na kushauriana mambo mbalimbali, kiuchumi,siasa,kijamii n.k. Na tunafundishana vitu vipya.Mfano mimi kwa kutumia tech forum, vocha yangu haiishi sana, natumia opera mini, kitu ambacho sikukijua hapo mwanzo. Otherwise. Wasalimie Wareno na ma-antigue!
dah nisikitika sana kwa kuikosa nafasi hiyo.Nalog offungesema mapema nikuletee wa kukufuta machozi. Nalog off
mie naona ni fursa ambayo mnaweza mkakutana watu mliopoteana.Nalog offfacebook upuuzi mtu! Inawafaa watoto.
wambea na wanafiki wote wanaoi'dis fb.. Kuna raha kule na 99.5 per cent ya active memberz wa jf pia wapo fb nalog in.
Hicho "Kitabu Sura" sikifagilii sana!
nakuambia ila mie nilikuwa mteja wa darhotwire kipindi kile cha chatroom,lakini kwasasa siukubali uteja wa site yoyote.Nalog offpole kwa kuanza kula dawa mpya ya kulevya ya face book...hii kitu ikikukolea huachi kila siku un log on...
ina maana wewe huwapendi marafiki zako?Nalog offWewe unafurahia kukutana na marafiki!. We kweli unahitaji maombi.
ina maana wewe huwapendi marafiki zako?Nalog off
nitauchuna tu.Nalog offfesibuku kama gugo!!kilakitu wanajua!!ila utakapo mkuta my waifu wako yupo in relationship na jamaa sijui utacheka?? nalog in
Inabidi kujikaza piana wakuumiza moyo ni wengi zaidi
hahahahahahahahahahahahaha sio hivyo mkuu kulia kwa furaha kama pale unapofurahia timu yenu kuchukua ubingwa unafurahi mpaka unatoka na machozi.Nalog off
Sawa Mzee ni maamuzi yako. Nalog offsiwezi kupoteza muda kumtafuta rafiki. Labda kama kuna tatizo linalohitaji msaada wake.
Mkuu huu ndio mchezo gani na nani anaongoza ktk ligi hiyo? Nalog offSawa mkuu, nilikuwa najoki tu. Hata mimi nitafurahi hivyo siku YNWA itakapotwa ubingwa wa EPL.