mbona ya kishamba sana??
Kwanini mmeianzisha?
Naomba sababu za msingi tafadhali
Facebook ni mtandao wa kihuni,najilaum kwanin nilijiunga.binafsisiipendi
faceboo,facebook,twitter na blogs za kibongo sijaona faida wala hasara zake lakini hiyo yako sijiungi sababu naamin jf ndo kila kitu. news napata jf, burdan napata jf, mambo ya kikubwa napata jf, mademu napata jf. udaku napata jf. mia
faceboo,facebook,twitter na blogs za kibongo sijaona faida wala hasara zake lakini hiyo yako sijiungi sababu naamin jf ndo kila kitu. news napata jf, burdan napata jf, mambo ya kikubwa napata jf, mademu napata jf. udaku napata jf. mia
namtafuta nilie mpenda kisha namtumia pm. uzuri hua hawana makuu lakini ukimzingua anakuja kukutangaza jf. miaMkuu mademu unapata vipi JF ili nami niwe mdau?
namtafuta nilie mpenda kisha namtumia pm. uzuri hua hawana makuu lakini ukimzingua anakuja kukutangaza jf. mia
unaangalia comment zake na mwandiko!..kwani mkuu hujui kutofautisha mwandiko wa kike na kiume? au wewe ulikua haundikiani barua na wasichana enzi zako?. miandiko ina tofauti kama hujui bora uende faceboo tu!. miaSasa mkuu mia unajuaje huyo member ni "ME" au ni "KE"? Nisije nikaleta tafrani humu ndani...
unaangalia comment zake na mwandiko!..kwani mkuu hujui kutofautisha mwandiko wa kike na kiume? au wewe ulikua haundikiani barua na wasichana enzi zako?. miandiko ina tofauti kama hujui bora uende faceboo tu!. mia
faceboo,facebook,twitter na blogs za kibongo sijaona faida wala hasara zake lakini hiyo yako sijiungi sababu naamin jf ndo kila kitu. news napata jf, burdan napata jf, mambo ya kikubwa napata jf, mademu napata jf. udaku napata jf. mia