Fabrice Ngoma apigwa 'Thank you' na Simba SC

Fabrice Ngoma apigwa 'Thank you' na Simba SC

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
Klabu ya Simba Imempa rasmi Thank you Fabrice Ngoma Baada ya Kuitumikia simba Kwa Misimu Miwili Mfululizo.

Asante Fabrice Ngoma kila la heri
517708342_18495347686071034_1425969411251800405_n.jpg

Screenshot_20250712_151050.jpg
 
Wapenzi wa Simba,

Najua mioyo yenu imebeba maswali mengi. Kama Rais wenu, msione nimekaa kimya wakati tumepitia kipindi hiki kigumu. Kupambania Simba ni wajibu wangu.

Huu siyo wakati wa lawama ni wakati wa kusimama imara, kuwa kitu kimoja, na kuchukua hatua sahihi za kuleta mabadiliko chanya.

Katika siku chache zijazo, nitazungumza na nyie moja kwa moja. Kuna kazi kubwa inaendelea, na kuna matumaini ya kweli.

Simba haijapotea. Tumekuwa kwenye kipindi cha mpito, tumejenga kikosi kipya, tumeimarisha benchi la ufundi, na tumeweka msingi wa mwelekeo mpya. Msimu huu tumefika mbali zaidi ya matarajio, na msimu ujao tunarudi kwa nguvu mpya.

Naomba tuendelee kuwa wavumilivu. Tunahitaji kufanya marekebisho makubwa. Tuendelee kusimama pamoja kama familia moja.

Mbele yetu kuna mwanga. Na kwa pamoja, tutarudi tukiwa imara zaidi, wenye njaa zaidi, na wa kishujaa zaidi.

#SimbaMoja #NguvuMoja
 
Wapenzi wa Simba,

Najua mioyo yenu imebeba maswali mengi. Kama Rais wenu, msione nimekaa kimya wakati tumepitia kipindi hiki kigumu. Kupambania Simba ni wajibu wangu.

Huu siyo wakati wa lawama ni wakati wa kusimama imara, kuwa kitu kimoja, na kuchukua hatua sahihi za kuleta mabadiliko chanya.

Katika siku chache zijazo, nitazungumza na nyie moja kwa moja. Kuna kazi kubwa inaendelea, na kuna matumaini ya kweli.

Simba haijapotea. Tumekuwa kwenye kipindi cha mpito, tumejenga kikosi kipya, tumeimarisha benchi la ufundi, na tumeweka msingi wa mwelekeo mpya. Msimu huu tumefika mbali zaidi ya matarajio, na msimu ujao tunarudi kwa nguvu mpya.

Naomba tuendelee kuwa wavumilivu. Tunahitaji kufanya marekebisho makubwa. Tuendelee kusimama pamoja kama familia moja.

Mbele yetu kuna mwanga. Na kwa pamoja, tutarudi tukiwa imara zaidi, wenye njaa zaidi, na wa kishujaa zaidi.

#SimbaMoja #NguvuMoja
🤣🤣🤣 Ulaghai
 
Raisi ndio ameshasema sasa
Ana wa- brain wash mashabiki na wanachama mlio nje ya mfumo

Ni lazima aseme hivyo so do you think asiposema hivyo wakati anaitumia 5imba kutangaza biashara zake ikitokea 5imba ikapoteza reputation Hizo biashara atazitangaza vipi !?
 
Makolo walipewa Thank You na Ngoma!, wameona wafute aibu na wao wampe
 
Huyu jamaa alikuwa mzuri binafsi sijaona sababu ya ndani ya uwanja iliyopelekea kuachwa
 
Kama unaacha wachezaji kama Hawa waondoke kwenye timu sasa unataka kubaki na wachezaji Gani wa kukupa mafanikio?
 
Back
Top Bottom