FA leo: Manchester United Vs Chelsea

FA leo: Manchester United Vs Chelsea

oscar booked yellow card..

dk 90+4 che 1 - 0 man
 
vampire anajitahidi kuondoa ukame wa magoli but where..

dk 93 che 1 - 0 man
 
Ni chelsea vs man u.sio man u vs chelsea.
Unajua ukisema kitu kimija unawapa watu faida zaidi ya moja mfano ukisema man u vs chelsea ntajua mambo yafuatayo
1)leo ni siku ya match hiyo
2)ntajua kuwa man u ndo wenyej
3)ntajua kuwa itachezewa old trafod
4)ntajua kuwa m
an u watavaa jezi za nyumban
5)ntajua kuwa nyimbo gan za ushangiliaji zitaimbwa
6)ntkadiria idadi ya watu watakao ingia
7)ntajua wall gan ya man u itatumika kwa man u supporters kutoa mawazo yao
8)ntajua sut atakayo vaa furguson
9),ntajua bigjee atakazo kula furguson
10)ntajua kuwaaaa .....

Ahsante mkuu. Nimeingia post hii kuona ni nani atagusia heading ya mtoa mada, lkn nimekutana na zaidi ya jibu.
Big up sana mkuu.
 
poleni sana majirani zangu eti huwa mkicheza mhana katikati ya wiki huwa hamshindi uchawi noma..
 
Goal la BA liko poa

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Tatizo nini si utadhi kweli? Sijui kwa nini wanakata sehemu aliposudu wakati anashangilia goli?
 
Back
Top Bottom