Ni chelsea vs man u.sio man u vs chelsea.
Unajua ukisema kitu kimija unawapa watu faida zaidi ya moja mfano ukisema man u vs chelsea ntajua mambo yafuatayo
1)leo ni siku ya match hiyo
2)ntajua kuwa man u ndo wenyej
3)ntajua kuwa itachezewa old trafod
4)ntajua kuwa m
an u watavaa jezi za nyumban
5)ntajua kuwa nyimbo gan za ushangiliaji zitaimbwa
6)ntkadiria idadi ya watu watakao ingia
7)ntajua wall gan ya man u itatumika kwa man u supporters kutoa mawazo yao
8)ntajua sut atakayo vaa furguson
9),ntajua bigjee atakazo kula furguson
10)ntajua kuwaaaa .....