FA leo: Manchester United Vs Chelsea

FA leo: Manchester United Vs Chelsea

my fear ni Mata & Hazard..duh Mentor leo ama zako ama zangu...!!
 
Last edited by a moderator:
Ni kama saa moja na ktu ndio imebakia

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
naweza kushabikia timu zote duniani lakini sio Man u na Simba.!!
 
television ya sky sports kutwa nzima inasema mata atakuwepo dimbani baada ya kukosa mechi mbili za chelsea..!hopefully mechi itakuwa nzuri na mwisho wa mchezo man utd ataondoka na ushindi ingawa man utd mara nyingi huwa wanaambulia kipigo kila wakisogea darajani

poleni.ndg,yaaana,vingamuzi vyote vya tanzania hamna hata kimoja chenye chaneli angalau yenye kuwapa watanzania raha ya kuona mechi kama hizi sasa tunaji vunia nini zaidi ya kujivunia dstv ni haibu ni haibu kwa [star times] [ting] [digitek] sijui labda watanzania tusubiri star tv na kisimbuzi chao cha [contnento] labda wao watatupa raha ya [epl] [laliga] na memengineyo lakini hawa wengine hovyoooooooooooooooooo,
 
line up yetu hii hapa:
Petr Čech , Azpilicueta, Ivanovic, David Luiz , Cole; Mikel, Ramires; Eden Hazard , Juan Mata , Oscar; Ba

Subs:
Turnbull, John Terry, Benayoun, Bertrand, Victor Moses , Lampard, Fernando Torres. mia
 
Ni chelsea vs man u.sio man u vs chelsea.
Unajua ukisema kitu kimija unawapa watu faida zaidi ya moja mfano ukisema man u vs chelsea ntajua mambo yafuatayo
1)leo ni siku ya match hiyo
2)ntajua kuwa man u ndo wenyej
3)ntajua kuwa itachezewa old trafod
4)ntajua kuwa m
an u watavaa jezi za nyumban
5)ntajua kuwa nyimbo gan za ushangiliaji zitaimbwa
6)ntkadiria idadi ya watu watakao ingia
7)ntajua wall gan ya man u itatumika kwa man u supporters kutoa mawazo yao
8)ntajua sut atakayo vaa furguson
9),ntajua bigjee atakazo kula furguson
10)ntajua kuwaaaa .....
Na ukijuwa kuandika vizuri unatupa faida zaidi sisi wasomaji kujuwa ulikusudia kufikisha ujumbe gani.
 
Back
Top Bottom