ahahahahahaaaah!Ni moto wa mabua tu, haufiki mbali.
Amepiga marufuku matumizi ya kifisadi ya watendaji wa wizara yake kulipana posho za hovyo hovyo, kununua mashangingi TANAPA badala ya magari ya porini, kusafiri nje ya nchi hovyo hovyo. Awasuta wajumbe wa bodi ambao ni mchwa.
Chanzo: Star tv taarifa ya saa mbili usiku
kama hiki ndicho kipimo chako.... basi tuna safari ndefu sana kuelekea uelewaAmepiga marufuku matumizi ya kifisadi ya watendaji wa wizara yake kulipana posho za hovyo hovyo, kununua mashangingi TANAPA badala ya magari ya porini, kusafiri nje ya nchi hovyo hovyo. Awasuta wajumbe wa bodi ambao ni mchwa.
Chanzo: Star tv taarifa ya saa mbili usiku
Yeye apambene na board kama anaweza. Mana board ndo inaongoza kwa kula pesa na safari za nje.
Lazaro Nyalandu pia ni mjumbe wa board na pale ndo kafungia ring alikuwa hana kitu kabisa.
Hivi "Matamko" aka "Maagizo" yanatusaidia nini?
Rais JK ametoa "Maagizo" zaidi ya 100 lakini mpaka leo business as usual!
Waziri Mkuu Pinda ametoa "Maagizo" zaidi ya 20 lakini mpaka leo business as usual!
Na mimi natoa "agizo" - Kuanzia leo marufuku Waiziri yeyote kuitisha mkutano na waandishi wa habari na kutoa "maagizo" BE