Ezekiel Wenje galasa mpenda fedha ataisaidia nini CCM?

Ezekiel Wenje galasa mpenda fedha ataisaidia nini CCM?

Siasa za manunuzi zilizoanzishwa na Comrade Humphrey Polepole hivi bado zipo tu huko CCM?
Polepole hakuanzisha labda aliendeleza(hata hivyo hakua na huo ubavu)

Manunuzi kwa ccm yalianza muda, juliana shonza, mtela mwampamba, mwigamba, zitto, kitila n.k Hawa walinunuliwa wakati ambao hata polepole hakuna anayemjua
 
Polepole hakuanzisha labda aliendeleza(hata hivyo hakua na huo ubavu)

Manunuzi kwa ccm yalianza muda, juliana shonza, mtela mwampamba, mwigamba, zitto, kitila n.k Hawa walinunulia wakati ambao hata polepole hakuna anayemjua
Zitto alifukuzwa CDM sasa unajuaje walionunuliwa na waliohama kwa hiyari yao?
 
Zitto alifukuzwa CDM sasa unajuaje walionunuliwa na waliohama kwa hiyari yao?
Sababu ya kufukuzwa ni kufanya hujuma kwa kulipwa na ccm(ndio kununuliwa huko)

Najuaje waliofukuzwa na kuhama kwa hiari yao? Wewe umejuaje kuwa kuna walionunuliwa na polepole?
 
Sababu ya kufukuzwa ni kufanya hujuma kwa kulipwa na ccm(ndio kununuliwa huko)

Najuaje waliofukuzwa na kuhama kwa hiari yao? Wewe umejuaje kuwa kuna walionunuliwa na polepole?
Polepole alikuwa akiwaomba waunge mkono juhudi.

Anyway hata Mbowe alikuwa anatuhujumu kwa kulipwa na CCM
 
Polepole alikuwa akiwaomba waunge mkono juhudi.

Anyway hata Mbowe alikuwa anatuhujumu kwa kulipwa CCM
Wapinzani kununulika na kuingia ccm au kubaki walipo hilo wala halikua suala la polepole mana limeanza hata yeye akiwa hajulikani. Ndio maana nikasema labda usema aliendeleza

Lipumba, dr.slaa kununuliwa zilitokea kabla ya polepole kuwa na nafasi yoyote ccm
 
Hivi mchungaji msigwa yupo? 😃
20250927_120010.jpg
 
Back
Top Bottom