mama dunia
JF-Expert Member
- Dec 22, 2011
- 420
- 84
Yes mama dunia! wenzetu Kenya na Uganda wapo juu sana na hii ni kwa vile wanayo mifumo inayowawezesha kufanya hayo wayafanyao!
Kitu kikubwa hapo ni capita kwani masoko yapo mengi sana ya hizo bidhaa!
Ushindani mkubwa kwa hivi sasa kwenye hizo bidhaa kwenye masoko ya nje ni kuwa wanataka bidhaa ambazo ni organic na ambazo zipo certfied! kwetu hapa bado tupo nyuma sana kwenye kuwa na wakulima wa bidhaa hizo ambao wapo certified!
Njia za kcertify bidhaa zipo complex kidogo na zinachukua muda na pesa kabla ya kuingiza kipato.
Habari nzuri ni kuwa hivi sasa hapa Tanzania tunacho chombo kinachojiusisha na kazi hiyo ambacho kinajulikana kimataifa kinaitwa TanCert waweza kugoogle uone wanavyofanya kazi zao!
Pia kuna wakimataifa zaidi kama Wajerumani wanaitwa Naturland ambao hawa wakikucertfify masoko ya Ujeruma huwezi kuyamaliza! watembelee www.naturlande. de na wana mwakilishi hapa tanzania!
Pia waweza kuwatembelea watu wa TOAM ( Tanzania Organic Agriculture Movement) wanaweza kukulink na wazalishaji wa bidhaa hizo ambao wapo Organic na certified!
Hopeful nimesaidia kidogo.
Yaani nimepata pa kuanzia, asante ngoja ni google na niwacontact kwa ushauri zaidi, thanks sana! Nimepata taarifa uarabuni wanahitaji sana hizi bidhaa lakini sie hapa TZ naona kama tupo nyuma saana kama unavyosema, thanks
Yaani nimepata pa kuanzia, asante ngoja ni google na niwacontact kwa ushauri zaidi, thanks sana! Nimepata taarifa uarabuni wanahitaji sana hizi bidhaa lakini sie hapa TZ naona kama tupo nyuma saana kama unavyosema, thanks
Mama Dunia, Imekua kama coincidence aisee maana hata mm nimekua nikitafuta hizi details za kuexport matunda kutoka tanzania kuja nchi za kiarabu bila mafanikio.Ninaishi Uarabuni(Bahrain), na huku kama ujuavyo hawana ardhi ya kusema watalima so kila kitu kinatoka nje.Kwa inshu ya matunda mengi yanatoka kenya na South Africa.Nilianza na kutembelea supplier portal za big suppermarkest kama hii ya Carrefour [http://supplier.carrefour.in:8080/webportal/supplierPortal.do] ili kujua masharti yao.Maana inatakiwa uwe registered as their official supplier na kuna documents zinatakiwa kama vile Business license, Sales Tax/VAT registration certificates, PAN card etc
Then unatakiwa uwe familiar na local Import Regulations & Standards esp for organic foods and things like packaging etc.Hii ni website for different countries for your reference [http://agriexchange.apeda.gov.in/IR_Standards/Import_Regulation.aspx]
But nilichokiona ni kigumu zaidi ni nyumbani tanzania kupata all required paper works ikiwa ni pamoja na ubora wa hayo matunda.
Niliwahi kutembelea baadhi ya sites za exporters wa kenya wanaonekana wamejipanga vizuri, wana mashamba makubwa na wana vyeti vya ubora kutoka institutions tofauti tofauti (nyingi zenye uhusiano na mambo ya afya)which make make to be qualified.
I'm sure pia hata tanzania mashamba makubwa yapo na wapo exporters ambao wameshafanya na wanafanya hii kitu b efore so ni atleast kuwapata ili watoe mwangaza wa how things should be done maana there is a huge market in Arab/Gulf States.
kwa upande wangu, I'm trying to find an kenyan or southafrican who has been doing this esp here in Bahrain to learn more then i'll share with you more info. In the meantime na wewena kupata more details from different sources.
ukihitaji mawasiliano yangu unaweza ukani-email through gegk61@gmail.com
Regards.
Kaaribu ukipata kikwazo ninaweza kukupa ontact zao kwa pm
Hi Wanajamvi, nauliza kama kuna mwanajamvi yoyote au kama unajua mtu au kampuni mwenye/yenye experience na kuexport nje ya nchi matunda fresh na mboga za majani, process zake, soko nk. Kenya naona wapo juu sana kwenye hili
Asante
Yes mama dunia! wenzetu Kenya na Uganda wapo juu sana na hii ni kwa vile wanayo mifumo inayowawezesha kufanya hayo wayafanyao!
Kitu kikubwa hapo ni capita kwani masoko yapo mengi sana ya hizo bidhaa!
Ushindani mkubwa kwa hivi sasa kwenye hizo bidhaa kwenye masoko ya nje ni kuwa wanataka bidhaa ambazo ni organic na ambazo zipo certfied! kwetu hapa bado tupo nyuma sana kwenye kuwa na wakulima wa bidhaa hizo ambao wapo certified!
Njia za kcertify bidhaa zipo complex kidogo na zinachukua muda na pesa kabla ya kuingiza kipato.
Habari nzuri ni kuwa hivi sasa hapa Tanzania tunacho chombo kinachojiusisha na kazi hiyo ambacho kinajulikana kimataifa kinaitwa TanCert waweza kugoogle uone wanavyofanya kazi zao!
Pia kuna wakimataifa zaidi kama Wajerumani wanaitwa Naturland ambao hawa wakikucertfify masoko ya Ujeruma huwezi kuyamaliza! watembelee www.naturlande. de na wana mwakilishi hapa tanzania!
Pia waweza kuwatembelea watu wa TOAM ( Tanzania Organic Agriculture Movement) wanaweza kukulink na wazalishaji wa bidhaa hizo ambao wapo Organic na certified!
Hopeful nimesaidia kidogo.
Yes mama dunia! wenzetu Kenya na Uganda wapo juu sana na hii ni kwa vile wanayo mifumo inayowawezesha kufanya hayo wayafanyao!
Kitu kikubwa hapo ni capita kwani masoko yapo mengi sana ya hizo bidhaa!
Ushindani mkubwa kwa hivi sasa kwenye hizo bidhaa kwenye masoko ya nje ni kuwa wanataka bidhaa ambazo ni organic na ambazo zipo certfied! kwetu hapa bado tupo nyuma sana kwenye kuwa na wakulima wa bidhaa hizo ambao wapo certified!
Njia za kcertify bidhaa zipo complex kidogo na zinachukua muda na pesa kabla ya kuingiza kipato.
Habari nzuri ni kuwa hivi sasa hapa Tanzania tunacho chombo kinachojiusisha na kazi hiyo ambacho kinajulikana kimataifa kinaitwa TanCert waweza kugoogle uone wanavyofanya kazi zao!
Pia kuna wakimataifa zaidi kama Wajerumani wanaitwa Naturland ambao hawa wakikucertfify masoko ya Ujeruma huwezi kuyamaliza! watembelee www.naturlande. de na wana mwakilishi hapa tanzania!
Pia waweza kuwatembelea watu wa TOAM ( Tanzania Organic Agriculture Movement) wanaweza kukulink na wazalishaji wa bidhaa hizo ambao wapo Organic na certified!
Hopeful nimesaidia kidogo.
Kaaribu ukipata kikwazo ninaweza kukupa ontact zao kwa pm
Mkuu hawa Toam ofisi zao zipo wapi? Naomba contacts zao please
Mama Dunia, Imekua kama coincidence aisee maana hata mm nimekua nikitafuta hizi details za kuexport matunda kutoka tanzania kuja nchi za kiarabu bila mafanikio.Ninaishi Uarabuni(Bahrain), na huku kama ujuavyo hawana ardhi ya kusema watalima so kila kitu kinatoka nje.Kwa inshu ya matunda mengi yanatoka kenya na South Africa.Nilianza na kutembelea supplier portal za big suppermarkest kama hii ya Carrefour [http://supplier.carrefour.in:8080/webportal/supplierPortal.do] ili kujua masharti yao.Maana inatakiwa uwe registered as their official supplier na kuna documents zinatakiwa kama vile Business license, Sales Tax/VAT registration certificates, PAN card etc
Then unatakiwa uwe familiar na local Import Regulations & Standards esp for organic foods and things like packaging etc.Hii ni website for different countries for your reference [http://agriexchange.apeda.gov.in/IR_Standards/Import_Regulation.aspx]
But nilichokiona ni kigumu zaidi ni nyumbani tanzania kupata all required paper works ikiwa ni pamoja na ubora wa hayo matunda.
Niliwahi kutembelea baadhi ya sites za exporters wa kenya wanaonekana wamejipanga vizuri, wana mashamba makubwa na wana vyeti vya ubora kutoka institutions tofauti tofauti (nyingi zenye uhusiano na mambo ya afya)which make make to be qualified.
I'm sure pia hata tanzania mashamba makubwa yapo na wapo exporters ambao wameshafanya na wanafanya hii kitu b efore so ni atleast kuwapata ili watoe mwangaza wa how things should be done maana there is a huge market in Arab/Gulf States.
kwa upande wangu, I'm trying to find an kenyan or southafrican who has been doing this esp here in Bahrain to learn more then i'll share with you more info. In the meantime na wewe kazana kupata more details from different sources.
ukihitaji mawasiliano yangu unaweza ukani-email through gegk61@gmail.com
Regards.
Katika biashara hii,ni lazima uwe na mashamba yako?Au waweza nunua kwa wakulima?
Asante mkuu umesaidia sanaYes mama dunia! wenzetu Kenya na Uganda wapo juu sana na hii ni kwa vile wanayo mifumo inayowawezesha kufanya hayo wayafanyao!
Kitu kikubwa hapo ni capita kwani masoko yapo mengi sana ya hizo bidhaa!
Ushindani mkubwa kwa hivi sasa kwenye hizo bidhaa kwenye masoko ya nje ni kuwa wanataka bidhaa ambazo ni organic na ambazo zipo certfied! kwetu hapa bado tupo nyuma sana kwenye kuwa na wakulima wa bidhaa hizo ambao wapo certified!
Njia za kcertify bidhaa zipo complex kidogo na zinachukua muda na pesa kabla ya kuingiza kipato.
Habari nzuri ni kuwa hivi sasa hapa Tanzania tunacho chombo kinachojiusisha na kazi hiyo ambacho kinajulikana kimataifa kinaitwa TanCert waweza kugoogle uone wanavyofanya kazi zao!
Pia kuna wakimataifa zaidi kama Wajerumani wanaitwa Naturland ambao hawa wakikucertfify masoko ya Ujeruma huwezi kuyamaliza! watembelee www.naturlande. de na wana mwakilishi hapa tanzania!
Pia waweza kuwatembelea watu wa TOAM ( Tanzania Organic Agriculture Movement) wanaweza kukulink na wazalishaji wa bidhaa hizo ambao wapo Organic na certified!
Hopeful nimesaidia kidogo.
Juzi nilikua Ufaransa, najinunulia kahawa kwenye suprmarket moja moja maarufu LECLEK. Nikakutana na pakti za chai kutoka Kenya! Nilishangaaaaa balaaa. Cc tupo nyuma kama mikia ya nyani kazi ngono na sogo
Juzi nilikua Ufaransa, najinunulia kahawa kwenye suprmarket moja moja maarufu LECLEK. Nikakutana na pakti za chai kutoka Kenya! Nilishangaaaaa balaaa. Cc tupo nyuma kama mikia ya nyani kazi ngono na sogo