Askari Kanzu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 4,598
- 1,233
- Thread starter
- #101
Rufiji we are dealing with people who are in self denial!Instead of spending $ 500 millions in rolling 4G network, they should spend that amount in beefing up security.
Rufiji we are dealing with people who are in self denial!Instead of spending $ 500 millions in rolling 4G network, they should spend that amount in beefing up security.
Rufiji we are dealing with people who are in self denial!
Before this incident the govt is spending Ksh8B in rolloing out cctv cameras allover the coutrty and the budget proposals for Ministry of Defence and that of Internal security has been increased in this year's budget..so don't stress yourself so much,its our problem and we will handle it!Instead of spending $ 500 millions in rolling 4G network, they should spend that amount in beefing up security.
Rufiji we are dealing with people who are in self denial!
Pole kwa gadhab!Silly statement,Self denial of what!?..
Naona watu wanataka manunguniko bila kuziua. nani kawazuzua akili zenu potovu wabongo? Lakini wabongo, swali mbona manunguniko? Serikali yenu huku wafisadi wakiachwa huru kuleta pesa zenu kenya kuliwa na kujenga magorofa.
Nimecheka kweli! Hivi ulichoandika hapo juu ni Kiswahili au ni lugha gani? Aisee umenifurahisha kweli.............
Awwww...it's so touching to see you guys so concerned about the state of Kenya, even as you continue to celebrate our misfortunes!
What I am just saying is open your eyes. Nani alidhani machafuko yataanza kwenye kisiwa cha Zanzibar? Mukilala usingizi, sio Alqaeda watakuja, ni watu aina hawa wa zanzibar magaidi. Zanzibar has a bitter history with mainland. Hivyo kaa chonjo! Do not just delight in satarizing and procrastinating your parody on Kenya's woes
Tunaangalia Uhusiano ulioko Afrika mashariki na sio kujaribu kupindisha nyuzi. Tafadhali! Tazama historia ya EA muongo moja uliopita na visa vya ugaidi na ujaribu kujifafanulia kuwa ugaidi umeingia EA. Sio suala la nani ametakasika akangara au nani muovu. Ni suala nyeti ambalo haliitaji kufanyiwa uchanganuzi bila kuzuia mafikira kuingiliwa na jazba zezote za kimitaa.