Expire Date!!!!

Expire Date!!!!

said jaffary

Member
Joined
Aug 31, 2012
Posts
8
Reaction score
2
Jamaa alikuwa ameshika document anazisoma akiwa na mkewe kitandani mara akaanza kucheka sana!!!!!!!! mke akaamua kumuuliza mbona una cheka sana nini kimekufurahisha jamaa akamjibu nimefurahishwa kuona expire date ya ndoa yetu ni kesho saa tatu asubuhi.
 
Back
Top Bottom