Experience yangu kama baby moma

Hakuna haja ya kulalamika wakati umechagua mwenyewe tena kwa vigezo ulivyoviweka ambavyo unaamini ni sahihi. Jambo lolote negative likitokea ujilaumu mwenyewe kabla ya kumlaumu mwingine kwani bila wewe hayo yasingetokea.
Sio kulalamika tatizo ni MTU kukwepa majukumu ya kulea hyo ya vigezo hailalishi kukwepa majukumu.
 
Yaani haya maneno ndio ya busara....

Sema wengine ni masikio ya kufa...




 
Hivi unaweza kupata mtoto ukawa depressed real? mmm im just thinking out loud ...like u have your own image yet u feel sad..cmon just enjoy being a mom no matter what..Jikubali mdada.
 
Hivi unaweza kupata mtoto ukawa depressed real? mmm im just thinking out loud ...like u have your own image yet u feel sad..cmon just enjoy being a mom no matter what..Jikubali mdada.

Ajikubali wapi wewe mtoto usiekuwa ukintaka lazima utapagawa tuu.
 
Sasa ushauri bure...usizae tena na mwanaume mwengine...tulizana tuu.
 

Alafu.....
Nimejikuta napenda sana wadada ambao tayari walikwisha zaa maana naamini ndio kwanza wamekomaa. Chaajabu sijui kwanini nikigundua kidada bado hakija zaa nakiona kana kwamba bado hakija pevuka akili aiseeee
 

Haya maneno ya Mzuri/ M-baya, kiukweli nimekua nikichanganyikiwa sana kwa kutokujua vigezo na tofauti ya Mzuri na Mbaya.
Please help
 
Pole sana shemeji, amini yatapita na furaha itachelewa lakini itarudi sehem yake.
Kuna scenario moja kama hiyo ila jamaa aliyeoa mkewe akawa hana uwezo wa kuzaa ikabidi aokoke na arudi kwa yule aliyemtelekeza na mtoto.
 
Binadamu hata umwambie nini huwa hazingatii ushauri ni hadi yamfike ndo anajifunza...
 
Mkuu ndoa siyo vocha kuwa ukitaka unakwangua unaiweka sa hivi au baadaye itaingia... Mungu atusaidie
 
Baby moma weye si wa kwanza. Mwombe Mungu akusaidie na jitume zaidi kufanya kazi ili ulee mtoto katika maadili mema
 
.Ni mwaka wa pili sasa nalea mtoto peke yangu.Si rahisi kama watu wasemavyo.Kwanza nilipozaa tu kidogo nidate kwani nilipata depression.So being a single mom si rahisi hata kidogo.Haijalishi una pesa.
NI ukweli ambao kwa baadhi hawapendi kuusikia.

Bila shaka kuna kitu watajifunza.
 
Duuh pole sana Baby moma mathalani yashatokea huna budi kukubaliana na hali halisi. Lea mtoto wako kwa upendo na ujipende wewe mwenyewe pia... Maisha ndio kwanza yameanza usikate tamaa, kwa kuwa ushapitia magumu nadhani next time hutaacha makosa hayo yatokee tena kiurahisi..
Akupendaye yupo njiani anakuja na utapata suuziko la moyo maradufu.

Nakushauri usimfikirie yule mme wa mtu na wala usijilaumu sana kwa kilichotokea mathalani umekiri kuwa ulikosea basi jutio lako limepata msamaha hata kwenye mamlaka kuu..

Huyo baba wa mtoto naye potezeana naye usimuwaze na usimkaribishe karibu yako, kama atakua anajali atoe hela ya matunzo na maisha yaendelee...

Nikiri nimejisikia vibaya nilipo comment kwa mara ya kwanza kwa kukudhiaki maana uandishi wako umekaa kimachale...

Pole sana...
 
Sasa ushauri bure...usizae tena na mwanaume mwengine...tulizana tuu.
Hiyo ni shule tosha ya maisha, atubu kwa aliyofanya huko nyuma, atulia alee mtoto wake, yeye si wa kwanza kukumbana na mambo kama hayo na naamini Mwenyezi Mungu atampa mume "wake". Wale wengine walikuwa si wake, alidandia tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…