Exemptions from paying tax

Exemptions from paying tax

Chilisosi

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2008
Posts
3,050
Reaction score
748
Waungwana, naomba kuuliza, Naishi ugaibuni na nilimaliza shule Miaka miwili iliyopita na sasa nataka kurudi nyumbani na vitu vyangu, Naomba kuuliza je bado ninahaki ya tax exemption au sinahaki hiyo tena? pia naomba kujua ni baada ya muda gani unahaki ya kupewa tax exemption baada ya kumaliza shule ?

Mdau
 
We ni mtanzania miaka miwili bado hujapata exemption mr. You have to pay tax on that imported goods ,even your repatrieted income you have pay tax.
In short your not qualify exemption.
 
We ni mtanzania miaka miwili bado hujapata exemption mr. You have to pay tax on that imported goods even your repatrieted income you have pay tax.
In short your not qualify exemption.
 
We ni mtanzania miaka miwili bado hujapata exemption mr. You have to pay tax on that imported goods even your repatrieted income you have pay tax.
In short your not qualify exemption.

sijakuelewe vizuri naomba unifafanulie zaidi. kiufupi sikuwahi kutumia haki yangu ya exemption tax wakati nasoma, na baada ya kumaliza shule nilipata working visa ambayo itaisha hivi karibuni na ninajitayarisha kurudi home na vitu vyangu. sasa nataka nijue kwa nini si qualify for exemption, au ni baada ya muda gani baada ya kumaliza masomo huwezi ku qualify for examption? tafadhari naomba ambaye anajua anifafanulie zaidi
 
Subiri wajuzi waje, huyu kapuku aelekea mweupe na ana roho mbaya na kijiba cha roho papo
 
Waungwana, naomba kuuliza, Naishi ugaibuni na nilimaliza shule Miaka miwili iliyopita na sasa nataka kurudi nyumbani na vitu vyangu, Naomba kuuliza je bado ninahaki ya tax exemption au sinahaki hiyo tena? pia naomba kujua ni baada ya muda gani unahaki ya kupewa tax exemption baada ya kumaliza shule ?

Mdau
Dial 0800110016 or 0786800000 its TRA Call Center Number...wanapatikana Jumatatu mpaka Ijumaa 8am-5pm...
 
Subiri wajuzi waje, huyu kapuku aelekea mweupe na ana roho mbaya na kijiba cha roho papo

wewe ***** wa kijiweni nenda ka some Income tax Act 2004 revised edition of 2006 section 6 (1) na VAT Act 1997 au revised edition third schedule. Alafundo uje unye kwenye jamvi c ajabu hujui hata nani anatakiwa awe na exemption na ni wakati gani then unakunyanya ujinga. Acha watu wa shauri.
 
Subiri wajuzi waje, huyu kapuku aelekea mweupe na ana roho mbaya na kijiba cha roho papo

wewe ***** wa kijiweni nenda ka some Income tax Act 2004 revised edition of 2006 section 6 (2) na VAT Act 1997 au revised edition third schedule. Alafundo uje unye kwenye jamvi c ajabu hujui hata nani anatakiwa awe exemption na ni wakati gani ***** wewe then unakunyanya ujinga. Acha watu wa shauri.
 
Mimi nimerudi mwezi wa pili na nimesamehewa. Unaqualify for exemption of personal effect ikiwa na maana vitu ulivyokuwa unatumia na gari moja. Ila kwa gari unatakiwa uwe ulilinunua mwaka mmoja kabla hujarudi kwamaana ya kwamba ulikuwa unalitumia. Ukiwa unakidhi vigezo unajaza BD Form unaambatanisha na passport yako unapeleka TRA longroom. Kampuni iliyonisaidia website yao ni Customs Clearing and Forwarding in Tanzania - Lifeline Commercial Agencies Ltd. - hope they can give you professional advice
 
Back
Top Bottom