Exclusive interview na Violeth Mzindakaya

Haka kabinti ndio kalikuwa UK kanapiga piga picha za ajabu au ni mdogo wake?
 
Katika umri mdogo tu wa miaka isiyozidi 23 tayari ana X husband! Kaachika?!

........Kwanza sio umri wake huo umekosea, na vile vile kuachika sio ajabu huwezi jua sababu aliyoamua kuachana na Edward. Na vile vile sista V sio mwanamke wa kwanza kuachana na mwanaume.
 
Mzee Mzindakaya ametangaza kustaafu Ubunge kule kwao. Binti anaweza kumrithi babaye. Hatutashangaa. Wazee wengi wa CCM ndio wako kwenye mchakato huo.

.........Hakuna ubaya wowote kwa sista V kupata ubunge jimboni kwa baba yake, kinachotakiwa ni sifa za yeye kuwa mbunge.Kama sifa anazo atachukua tu jimbo, watanzania hebu tuache hii tabia mtu kuwa mtoto wa kiongozi isiwe sababu ya yeye kukosa uongozi kama anastahili.
 
.........Hakuna ubaya wowote kwa sista V kupata ubunge jimboni kwa baba yake, kinachotakiwa ni sifa za yeye kuwa mbunge.Kama sifa anazo atachukua tu jimbo, watanzania hebu tuache hii tabia mtu kuwa mtoto wa kiongozi isiwe sababu ya yeye kukosa uongozi kama anastahili.

Sawa bana, yaani ktk jimbo zima la uchaguzi wanaofanya kuongoza wapo ktk familia moja tu? Wengine wote wanaqualify kuongozwa? Akitoka baba anakuja mtoto,then mjukuu, then kitukuu. Wengine wote hawana uwezo wa kuongoza,wao tu ndio wanaoweza.
 
........Kwanza sio umri wake huo umekosea, na vile vile kuachika sio ajabu huwezi jua sababu aliyoamua kuachana na Edward. Na vile vile sista V sio mwanamke wa kwanza kuachana na mwanaume.
Kama hauweza kuhimili NDOA yako ya KWANZA ni vigumu mno kuhimili UONGOZI wowote ule. Utaendelea kuwa KIONGOZI kwa ajili ya pesa zako tu. Kwa TZ ya sasa hata yeye anaweza kuwa Mbunge.
 
kama hauweza kuhimili ndoa yako ya kwanza ni vigumu mno kuhimili uongozi wowote ule. Utaendelea kuwa kiongozi kwa ajili ya pesa zako tu. Kwa tz ya sasa hata yeye anaweza kuwa mbunge.

..................very right!! And i've said this over and over again, baba akiwa mvuvi sio lazima mtoto nae awe mvuvi. Hizo ni fikra za kijima!! Ukiona wanandugu wote wanakimbilia kwenye siasa ujue hakuna zuri wanalowatakia wale wanaowaongoza. And this is evident in the case of mzee Mzindakaya ambaye nashangaa watu wanaodai eti alikuwa mpiganaji au eti ni mkongwe wa siasa. Mzindakaya was and has been the most opportunistic and corrupt politician in TZ history. Uliza fedha alizotumia kuanzishia kiwanda cha nyama huko kwao sumbawanga alizipata wapi? It was from B.O.T, as in the bank that gave away epa money to CCM. Ndiyo maana huyo mzee alikuwa anapinga uchunguzi kufanyika kuhusu wizi wa E.P.A kwa sababu yeye alipata fedha kwa kudhaminiwa na B.O.T na ameshindwa kulipa kwa hiyo B.O.T or in other words watanzania ndiyo wamebebeshwa mzigo wa kulipa mtaji wa kiwanda cha mzee Mzindakaya.

Common watanzania, wake up!!!!
 
Mtu ambaye ni wa kuiga kwake ati ni JK naye anajua hivyo,basi dada tumekusikia karithi jimbo aliloacha baba yako na hizo ndio siasa zetu siku hizi,zamani tulikuwa tunawacheka Wakenya walivyokuwa wanarithi majimbo waliyoacha baba zao,yaani ulikuwa kama uchifu hivi sasa leo tunayashuhudia hapa bongo ,watu wazima na akili zao wameanza hata kuwarithisha uongozi hata chekechea ,kinachonisikitisha ni kuwa hawa watoto wa wakubwa hawatumia uwezo wao bali hutumia nafasi walinazo wazazi wao kujipenyeza ili kuwakilisha kizazi chao,watoto wenyewe kazi mipasho tu kila kukicha.
 
Hivi hamjajua chieftainshp haijafutwa Tz? Ndo hiyo inaendelea, kama haupo kwenye chain jiandae kuwa mpiga kura mzuri tu kwa "WAO".
 
Sawa bana, yaani ktk jimbo zima la uchaguzi wanaofanya kuongoza wapo ktk familia moja tu? Wengine wote wanaqualify kuongozwa? Akitoka baba anakuja mtoto,then mjukuu, then kitukuu. Wengine wote hawana uwezo wa kuongoza,wao tu ndio wanaoweza.

Kama kugombea kwake kunatimiza masharti yaliyowekwa hakuna kosa lolote. Ni haki yake kikatiba. Ina maana kwa kuwa Baba yake ni Mbunge wa hilo jimbo, na katangaza hagombei tena, mwanae (ama wanae) hawana haki kugombea. Katiba ina waruhusu kama vile inavyoruhusu kwa wengineo, muhimu tu ni katika michakato ya kupata wagombea ndani ya vyama iwe huru, na wakati wa uchaguzi tuwe na tume huru (ambayo kwa tume hatuna).

Hivyo Sista V ana haki kugombea kama walivyona haki wengine, kama anatimiza masharti ya kugombea.
 
Nakumbuka kipindi cha kampeni ya Jk pale Goldeni Tulip Mishi na Violet walikuwa wakata viuno walikuwa masteji shoo wetu jamni.
Salam kwa Paulo yupo wapi eti???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom