Excel kupanga matokeo, divisions na points

Kama kuna paper 1,2 &3
Nataka kama mwanafunzi hajafanya paper mojawapo awe incomplete formula inakuwaje?
 
Kama kuna paper 1,2 &3
Nataka kama mwanafunzi hajafanya paper mojawapo awe incomplete formula inakuwaje?
=IF(G20="", "Incomplete")
G20 ni sehemu ambayo unajaza marks, na hiyo formula utaiandika ktk cell unayotaka hilo neno la incomplete litokee
 
=IF(G20="", "Incomplete")
G20 ni sehemu ambayo unajaza marks, na hiyo formula utaiandika ktk cell unayotaka hilo neno la incomplete litokee
Sehemu za kujaza marks hapo zitakuwa g20,h20 na i20
 
weka hapa watu wasome....kama mdau anavofanya...mambo ya pm ya nini?? Tunaendaga pm tukitaka kutongoza
 
Mkuu uko njema Sana katika Excel
 
Kwa kutumia vlookup command naona hata kea ambao hawajafanya inawawekea F vipi hapo tunaweza kuhandle vipi situation kama hii
 
Mkuu vipi kwa kutumia vlookup kea data zinazomiss (hamna data katika cell)
Unataka Vlookup idisplay blank kama cell ni empty or? If yes, andika

=IF(VLOOKUP(D6,H8:M20,2,FALSE)="","", VLOOKUP(D6,H8:M20,2,FALSE))
 
Reactions: a45
Mkuu vipi kwa kutumia vlookup kea data zinazomiss (hamna data katika cell)
Kama ulimaanisha lookup value ndiyo inayomiss,andika

=IFERROR( VLOOKUP(D6,H8:M20,2,FALSE),"")
 
Kwa kutumia vlookup command naona hata kea ambao hawajafanya inawawekea F vipi hapo tunaweza kuhandle vipi situation kama hii
Inakuja F kwasababu, vlookup ikikutana na empty cell (cell zisizojazwa value yoyote) huwa inaitreat kuwa zero (zero ni F ndo mana inadisplay hivyo)
 
Reactions: a45
Inakuja F kwasababu, vlookup ikikutana na empty cell (cell zisizojazwa value yoyote) huwa inaitreat kuwa zero (zero ni F ndo mana inadisplay hivyo)
Nilikua namaanisha hii uliyo jibu hapa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…