Asante sana ndugu kunta93, ndio tunatoa vyeti baada ya kuhitimu hayo mafunzo! Njoo uongeze ujuzi, ili kuleta ufanisi kazini!Mnatoa certificates?
Mnatoa na Cisco courseUandikishaji unaendelea, na kozi hizi zinaendeshwa kila mwanzo wa wiki na wikiend pia. Kwa maitaji yako binafsi au kwa wafanyakazi wako tuwasiliane.
asante na karibu
Karibu sana COMSKILLS,Mnatoa na Cisco course
Garama za Cisco course zote ni ngapiKaribu sana COMSKILLS,
Ndio tunatoa CCNA course new syllabus. Darasa litaanza mwezi wa kumi katikati. Kwa sasa tunaendelea na kujisajili kwa ajili ya darasa hilo
Piga sasa: 0717718519 | 022 270 1320 | 0762 192 532
Tuandikie: training@comskills.co.tz
Tutembelee: Makumbusho Business Complex, Gorofa ya pili
Karibu sana COMSKILLS,Garama za Cisco course zote ni ngapi
ThanksKaribu sana COMSKILLS,
Gharama ya kozi, Entrance level- ni 700,000/= Hii haijumuishi mtihani wa mwisho!
Piga sasa: 0717718519 | 022 270 1320 | 0762 192 532
Tuandikie: training@comskills.co.tz
Tutembelee: Makumbusho Business Complex, Gorofa ya pili