Asante ndugu "Omoghaka",Tally mnayofundisha contents zake kikoje?.
Kozi inachukua muda gani kukamilika?
Gharama za Mafunzo ni kiasi gani?Asante ndugu "Omoghaka",
Tally ERP 9, tunafundisha in full ( Basic to Advance), means kuanzia unatengeneza kampuni mpaka kuprint Financial Report za kampuni husika.
Muda wa hii kozi ni masaa 20, kwa maana ya 2 Hrs/day kwa muda wa wiki mbili
Baada ya masomo, kuna mitihani miwili, Theory & Practical na ndipo utapewa cheti cha kuhudhuria mafunzo.
Utakuwa chini ya uangalizi wetu kwa miezi mitatu,(3 months consultation free) kama utapata tatizo lolote juu ya Tally tutakusaidia bure.
Lengo letu kuu ni kukujengea uwezo wa hali ya juu wakati unafanya kazi na hii software.
Karibu sana,
Tupigie: 0717 718519 | 0762 192 532 | 022 270 1320
Tuandikie: training @comskills.co.tz
Tutembelee: Makumbusho Business Complex, 2nd Floor.
Tupo wazi: Saa 11 asubuh mpaka saa nne(4) usiku kila siku.
Asante ndugu, "omughaka".Gharama za Mafunzo ni kiasi gani?
Asante ndugu "Omusolipagasi", kama wewe ni mtumiaji wa kawaida wa Excel na sasa waitaji kwenda mbali kidogo kwenye upande wa Data Analysis , basi kozi ya " Business Data Analytics" itakufaa sana!Nakata kusoma Excel kwa ajili ya data analysis. Mimi ni mwanasayansi. Kuna kozi inayonifaa hapa kwenu?
Asante ndugu "Omusolipagasi", kama wewe ni mtumiaji wa kawaida wa Excel na sasa waitaji kwenda mbali kidogo kwenye upande wa Data Analysis , basi kozi ya " Business Data Analytics" itakufaa sana!
Ni wiki mbili kwa masaa mawili kwa siku!
Ada yake ni 350,000/=
KAribu sana,
Tupigie: 0717 718519 | 0762 192 532 | 022 270 1320
Tuandikie: training @comskills.co.tz
Tutembelee: Makumbusho Business Complex, 2nd Floor.
Tupo wazi: Saa 11 asubuh mpaka saa nne(4) usiku kila siku.