Ex wangu anateseka, wote semeni tawile

Ex wangu anateseka, wote semeni tawile

Baada ya kuwa na mahusiano na mwanmke flan kwa miaka mi 4, baadae akaja kubadilika baada ya kupata kazi, inshot mm ndio nilikuwa na muweka mjini,



Ila kiufup tuu huyu mtu hata iweje siwez kaa nikardiana anaeee nishaaa muaa kwenda mbeleeeeee
nipe namba zake
 
We bado unampenda ungekuwa umeMUV ON wala usingefurahia mateso yake kiasi cha kuleta uzi.
Na nilivyosoma uzi wako sijaona sehemu anataabika, huenda anataka kukujaza, akupige UPPERCUT, chembe, kidevu, ulale mazima.
Tuliza akili.
 
Kajifundishe kuandika kwanza,unaonekana ni mtu wa hovyo hovyo sana,

Kufurahia mateso ya x wako ina maanisha kua wewe ndio unayeteseka,na hapo unajutia kumtoa kijijini,ila amini huyo binti atatoboa na utateseka zaidi ya hapo,

Kwa uandishi huo unaakisi kabisa akili yako na tabia yako,Mungu kamuokoa binti wa watu kuishi na wewe mvulana mwenye akili changa kama muhindi wenye ndevu zake shambani.
 
Baada ya kuwa na mahusiano na mwanmke flan kwa miaka mi 4, baadae akaja kubadilika baada ya kupata kazi, inshot mm ndio nilikuwa na muweka mjini,
Safi Sana kijana yaani mtu akikuacha kwa dharau usimuonee huruma kabisa muache Apigike ili siku Hali ikiwa Sawa asiwe na dharau kwa watakao msaidia tena( usimsaidie wewe tena)
 
  • Thanks
Reactions: apk
Kajifundishe kuandika kwanza,unaonekana ni mtu wa hovyo hovyo sana,

Kufurahia mateso ya x wako ina maanisha kua wewe ndio unayeteseka,na hapo unajutia kumtoa kijijini,ila amini huyo binti atatoboa na utateseka zaidi ya hapo,

Kwa uandishi huo unaakisi kabisa akili yako na tabia yako,Mungu kamuokoa binti wa watu kuishi na wewe mvulana mwenye akili changa kama muhindi wenye ndevu zake shambani.

Hee!taratibu sasa 😂😂
 
Naona unaandaa bomu la ndoa likatae mapema ndoa ni utapeli kataa ndoa.
 
Kumove on sio lazima uwe huna upendo nae
Hata chuki kwa ex ni kuto-move on

Yani maisha yake hayatakiwi kuwa na positive wala negative impact kwenye maisha yako
Kiufupi acha kujihusha nae kwa chochote, yaan kila mtu aendelee kivyake
 
Safi Sana kijana yaani mtu akikuacha kwa dharau usimuonee huruma kabisa muache Apigike ili siku Hali ikiwa Sawa asiwe na dharau kwa watakao msaidia tena( usimsaidie wewe tena)
Kabisaaaa yaaan
 
Kufurahia anguko la ex wako ni dalili mojawapo ya kushindwa kumove on
Jitahidi uendelee na maisha yako ndugu sam kijani

Uki move on hata uki kutana nae hujikuni. Move on including kisasi huwazi tena, simply umemuachia Mungu na kila kitu.
Lakin si rahis kama watu wanavyodhani
 
Usijali mkuu mimi ni mtu mwenye roho nyeupe nipe namba yake nimpe unafuu wa maisha,n
 
Usijaribu kumrudia huyo atakuharibia maisha kama SI kukuua
 
Usimuombee mwenzako mabaya mkuu.

Me natamani jf yote tuwe na hela,tuelemike humu kutoka kwenye MMU tuwe tunajadiri spare ipi nzuri za magari kama Audi.

Tuishi katika kuombeana mema.
 
Back
Top Bottom