Don Vito
JF-Expert Member
- Jul 15, 2018
- 1,340
- 2,092
Huyu chalii kama chakula hivii...Kama vitu vidogo kama hivyo vinakusumbua mpaka unafungua thread, basi mshukuru Muumba wako una maisha marahisi sana
Huyu chalii kama chakula hivii...Kama vitu vidogo kama hivyo vinakusumbua mpaka unafungua thread, basi mshukuru Muumba wako una maisha marahisi sana
Mzeye huyo bado anamiss mgegedo wako...wee mkaribishe gheto siku ule mbususu hiyoWakuu poleni na miangaiko ya hapa na pale kuna ex wangu nimeachana nae ni kama miezi 8 sasa tulitofautiana ila hatukufuta mawasiliano ila uwa hatuwasiliani sema yeye uwa anakomenti sana status zangu sasa jana nikamuweka demu wangu mpya status nashangaa amekomenti eti ww unadhani napata wivu hapana mimi sina wivu na ww nimepata kazi now maisha safi
Nikamwambia ongera kwa kupata kazi lakni hiyo kazi yako hainihusu mimi na mimi sipo hapa kwaajili ya kukutambia kuhusu huyu demu wangu mpya ni shombe shombe wa kiarabu mtoto mzuri kuliko yeye ndio maana kapaniki ila mademu buana halafu cha ajabu ni kwamba naona kila nikiweka status anazifuatilia mno tena mda mwingine ananipiga majungu
Wakuu huyu ex vp maana simuelewi mienendo yake yaani kama bado hajamove on vizuri
Wakuu poleni na miangaiko ya hapa na pale kuna ex wangu nimeachana nae ni kama miezi 8 sasa tulitofautiana ila hatukufuta mawasiliano ila uwa hatuwasiliani sema yeye uwa anakomenti sana status zangu sasa jana nikamuweka demu wangu mpya status nashangaa amekomenti eti ww unadhani napata wivu hapana mimi sina wivu na ww nimepata kazi now maisha safi
Nikamwambia ongera kwa kupata kazi lakni hiyo kazi yako hainihusu mimi na mimi sipo hapa kwaajili ya kukutambia kuhusu huyu demu wangu mpya ni shombe shombe wa kiarabu mtoto mzuri kuliko yeye ndio maana kapaniki ila mademu buana halafu cha ajabu ni kwamba naona kila nikiweka status anazifuatilia mno tena mda mwingine ananipiga majungu
Wakuu huyu ex vp maana simuelewi mienendo yake yaani kama bado hajamove on vizuri