Ewura

Ewura

Sweet Ami

Member
Joined
May 20, 2012
Posts
8
Reaction score
0
Jaman mtusaidie Iringa mafuta ya taa imekuwa ishu. Wiki ya 2 hayapatikan hapa mjin je ni uchakachuaji au kuna shida gan maana serikal haisemi lolote au inaona kawaida? Tuokoeni!
 
Wamesema wanataka tutumie mafuta ya ndege (hope with some modifications) in the time being wakati wanaagiza mafuta.
 
Kma mtatumia mafuta ya ndege angalieni vizuri kwani wale wanaotumia makoroboi na vibatari na jamii nyingine zinazotumia mafuta ya taa vinaweza kuruka kama ndege,mshangae asubuhi au umeshtuka usingizini unakutana na kibatari kinapiga doria juu ya chumba ulicholala,au jiko la mchina linapepea juu na sufuria la maji ya kuoga sijui utalituaje chini
 
Back
Top Bottom