MKuu wa Uhusiano na Mawasiliano wa Ewura Titus Kaguo, alisema jana kuwa bei halali ya petroli jijini Dar es Salaam Sh 1,666 na kikomo ni 1,791 na bei ya Disel yenye kiwango kikubwa cha salfa ni 1,647 na kikomo ni 1,770 huku bei kikomo kwa diesel yenye salfa chache ni 1,686 na kikomo ni 1813.