Nadhani kama sijasahau, kuna kituo kimoja cha mafuta pale kariakoo Kilijaribu kufungiwa kwa kuuza mafuta yaliyochanganywa lakini uwezo wa EWURA kusimamia maamuzi yake kisheria ni mdogo na kile kituo kinaendelea kuuza hayo mafuta mpaka kesho. Je kwa maamuzi haya tunadhani yataweza kutekelezeka?