fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,606
- 8,264
Ewe mwanamke sikia hii, siri za mmeo ziweke kibindoni, kwamba ni malaya sana, unamfumania siku zote, kwamba kitandani ni dhaifu, kwamba ni muongo, kwamba huwa anajinyea hovyo, kwamba hana kazi ya maana, kwamba kipato chake kidogo, na dosari zingine zozote, usizitoe nje.
Kaa na mmeo, ongea nae. Tafuteni ufumbuzi kwa pamoja, mjenge nyumba yenu. Ndivyo Mungu anavyotaka
Kaa na mmeo, ongea nae. Tafuteni ufumbuzi kwa pamoja, mjenge nyumba yenu. Ndivyo Mungu anavyotaka