Uchaguzi 2020 Ewe Lissu, hata watu wa Chato ni wapiga kura wako

Elitwege

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
5,154
10,809
Tundu Lissu hujui geography ya Tanzania? Kwako Chato iko nchi gani?

Kila siku anatukana watu wa Chato kwa kupelekewa maendeleo

Huyu Lissu tunamsubiri ataenda kuomba vipi hizo kura Chato na mkoa wa Geita kwa ujumla.

Wana Chato na Geita kwa ujumla tunaomba mtoe fundisho kwa wagombea wa namna hii wenye lengo la kuwagawa Watanzania badala ya kuwafanya wawe kitu kimoja.
 
Kila mwenye akili timamu anafahamu ni uenda wazimu Chato kujenga Uwanja wa Ndege wa Kimataifa!

Na kama Chato kuna wenye akili timamu, nao watafahamu kwamba kilichopelekwa kwao ni uendawazimu kwa sababu yapo mambo mengi sana ya msingi wanayohitaji kuliko huo uwanja wa ndege!

Na atakayefahamu kwamba huo ni uenda wazimu, atamchagua TL hata TL asipoenda Chato kufanya kampeni!

Lakini kama wote wana akili za kiuendawazimu kama ulivyo uenda wazimu wa kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa Chato, basi waendelee tu kuunga mkono uendawazimu!

Ni heri msafara wako uwe ni mtu mmoja tu ambae ni timamu kuliko kuwa na watu mia moja ambao wote sio timamu!
 
Back
Top Bottom