Eva Shayo ni nani?

Hivi huyu dada ni nani? Anaishi wapi?
Antoa tàrifa nyeti sana anazipata wapi?

Anafanya kazi nzuri ya kutetea TANGANYIKA
ni nonsense kusifia ujinga ambao haukusaidii chochote bali kukufanya uwe lofa zaidi
 
Ni nani huyo na ameleta habari gani?
Huyu hapa, yuko instagram na nadhani anajirekodi akiwa nje ya Tanzania. Ana mvuto kwa vile hana matusi kama Dangwa au MangeKimambi. Ni mrembo fulani ana lips za kunyonyea mshedede na sauti ya mahaba. Sijui nini kimemuingiza kwenye harakati.


 
Teka Teka ya Mafwele imetengeneza wanaharakati wengi hatari
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…