jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Umoja wa Ulaya haujatoa tamko lolote kupinga unyanyaswaji wa vijana wanafunzi waliokuwa wakiandamana kumpinga Rais wa ufaransa na sera yake ya kupandisha kodi.
Kinachoshangaza ni ukiherehere wa umoja huo kutoatamko dhidi ya Tanzania.
Bado walami hawa wanadhani Tanzania ni koloni lao.
Avertissement de redirection
Kinachoshangaza ni ukiherehere wa umoja huo kutoatamko dhidi ya Tanzania.
Bado walami hawa wanadhani Tanzania ni koloni lao.
Avertissement de redirection