EU: CHADEMA funding claim a lie

Umoja wa ulaya nao unatakiwa umfikishe simba mahakamani ili athibitishe tuhuma zake hizo nzito.
 

Hilo la Uchaga na Ukatoliki ni kweli kabisa halina ubishi! Chadema iko kikatoliki na uchaga zaidi!
 
Wana JF tatizo la nchi yetu ni moja The Big Boy 'brown boy' in White house, anachaguwa ministers ambao ni EDUCATED FOOLS, people who got bonus GPA at the Uni and colleges. people who speak without REASONING e.g SS & Maembe, it is time to EMPLOY MINISTER WHO ARE NOT MPs. out here we have men and women of integrety who can take charge. we need ministers who have vision. in a number of occasion i have been advising the CCM government to have GOVERNMENT SPOKES PERSON, angalia Inakula kwao KWA UVIVU WA KUTO KUFIKIRIA. IT SEEMS THEY DO NOT EVEN KNOW THE FUNCTION OF AN OPPOSITION PARTY, Mr Maembe and Ms SS FOR YOUR OWN GOOD, YOU EDUCATED FOOLS. CDM IS THERE TO KEEP THE GOVERNMENT ON ITs TOES SIO KUCHOCHEA AU KULETA MACHAFUKO KAMA MNAVYODHANI NADHANI MNACHUKIA CDM KWA SABABU IT IS KEEPING YOUR GOVERNMENT ON ITS TOES AND THAT IS DEVELOPMENT, AS YOU WILL BE KEEN IN PERFORMING YOUR DUTIES AS EXPECTED. WAKE UP CCM AND STOP GIVING OUT LAME EXCUSES.
 
katibu mkuu msaidizi wa wizara ipi? hao si ndio watendaji wa wizara? ni bora apewe wadhifa pale Ikulu , na amini kuna vitengo vingi tu anaweza akafanyia kazi bila ku bugudhi kazi ya Rais , kwani Mama Salma pale Ikulu haitaji "wasaidizi wa ndani"?
Khaa! Mkuu hapo umeua kabisa. Hata kama SS anajifanya bingwa wa mipasho,ukimpa hiyo lazima atakaa kimya tuu.
 
Huyu mama anatakiwa awe anafungiwa chumba kimoja na Makamba waongee.
Mkuu humjui Makamba nini? Hiyo ni hatari sana kwa SS kwani umesahau Makamba alipokuwa mwalimu mkuu wa shule ya msingi.
 
Hivi hili suala limefika wapi?hivi kweli mtu anaweza ku-risk uhusiano wa taifa letu na jumuiya ya kimataifa halafu suala liende silently kiasi hiki?
 
Hilo la Uchaga na Ukatoliki ni kweli kabisa halina ubishi! Chadema iko kikatoliki na uchaga zaidi!

Ni vigezo gani vinaweza kutambulisha chama kuwa ni cha Kikatoliki au cha Kichaga?
- Je, ni pale viongozi wake wakuu kuwa wa dini au kabila hilo?
- Je,ni pale wanachama wengi wanaokiunga mkono wanatoka katika dini au kabila hilo?
- Je, ni pale itikadi yake kuwa ya dini au kabila hilo?
Sijakuelewa kabisa ndugu yangu.
 
Mama huyu hata kwenye vikao vya akina UW-CCM huwa anabwabwaja tu, mie huwa najiuliza ivi akili yake ina akili kweli au? Kwa kweli na huyu Vasco Dagama nae sasa anadhihirisha u-laissez faire wake kwa kutuwekea viongozi ambao wengine walitakiwa kuwa wenyeviti wa bendi za taarabu! aaahhhggghh:bored:
EU wakimuonyesha mfano Vasco Dagama kupitia huyu mama SS na yule chalii BM atajifunza
 
CCm hili nadhani litakuwa funzo kwenu.

Mlizoea kuendesha mambo kienyeji na kufanya wengine wajinga na hawaelewi nini cha kufanya. Sasa, mmewatuhumu hizo nchi za Ulaya pasipo kujua ya kwamba hili suala litabackfire. Now Sophia Simba na Membe hebu jibuni hilo tena. Mmeshindwa kutekeleza wajibu katika wizara senu na kujitia Government Spokespersons.

Nia aibu iliyoje kwa serikali kuendeshwa kihuni hivi paspo kujua ya kwamba ni muhimu kuheshimu misingi ya utendaji na kutoa madai yenye ukweli? Mmegusa pasipo gusika na sasa hali ni tete kwa waropokaji wote.

Upinzani, sasa tumeanza kuona madhaifu mengi ya CCM, hawana jipya ni vitisho tu na kupaka wengine matope kwa siasa za kizandiki.
 

Hii hapa!!
The EU head of delegation in Tanzania, Mr Tim Clarke, said he would contact the CCM women’s wing chairperson, Ms Sophia Simba, to establish the basis of her recent remarks on the alleged financial support to the opposition party.

“I have no idea where these allegations have come from,” Ambassador Clarke said in an interview with The Citizen.

“As far as my own institution (EU) is concerned, I can categorically state that we have not, nor will we fund any individual political party in Tanzania,” the EU envoy stated.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…