..eti x-ameni-miss....

..eti x-ameni-miss....

Kwanza neno haka hilo kwanini likushughulishe? hujawahi kulisikia au hukulitarajia kwa sasa kutoka kwake?
Ebu jiulize nafsi yako bado na wewe moyo unakudunda na unashauku ya kutaka kujua ebu achana nae mpuuze na mdharau ebu jikazeeeeeeeeeeeeee....

This is it!
Looks like amefurahishwa kumissiwa na yuko one step kurudiana; why asking for detail about? I am sure mwanaume alikuwa anataka kupata reaction yako, ili ukilegea tu mrudiane akutende one more time!
 
mi nimeachana na wangu lakini kanambia nikitaka gemu nimtelbut tatizo nipombali naye
 
..wana jamvi habarini za leo...!!!! kuna wakati fulani niliwahi kuomba ushauri hapa, nilikorofishana na aliyekua BF wangu..nashukuru sana wana jamvi ushauri wenu umenisaidia sana kwani kwa sasa nmeweza kusimama imara na nmemtoa mawazoni japo salaam za kawaida zina exist. kituko kinakuja sasa hivi karibuni kanieleza eti "ameni-miss"..... hebu nisaidieni hapo maana anaulizwa umemiss nini anajiumauma tu....haeleweki...nimueleweje huyu kiumbe anataka kuniumiza tena? au ndo hatua za kuanza kulilia 2nd chance? sielewi...!

Maelezo yako yanatanabahisha wazi kwamba hata wewe umemmisi isipokuwa unataka kupima upepo hapa kwakuwa ulishawakuja kuomba ushauri. Kwakuwa kwa hakika anapokwambia amekumisi umeshajua anamaanisha nini si vibaya ukamsaidia kukata kiu ya kukumisiana.
 
Samahani,naomba nijue umri wako kwanza!
 
I used to "miss" my ex galfriends for "fun"...
 
Hana lolote huyo, anataka muwe mnapeana game za kirafiki, kwa minajili ya KUJIKUMBUSHIA ZILIPENDWAAA! Wala usikubali atakufuja bureee, hakuhudumii afu anataka mambo burebure. Mimi mwenzio jitu nikiliacha likijifanya kinganganizi dawa moja tu ni KUTANGAZA NJAAA MWANZO MWISHO! Anza na kodi ya nyumba, vocha, nguo Mr Price, less wigi mpaka kiranga kimtoke! SHAMBA LILISHAMSHINDA WAMELILIMA WENZIE YEYE ANATAKA KUJA NA KAPU AVUNE!!!!!! Chinekeeeeeee! I beeeeeg Ohhhhhh!

Alaaaaahhh kumbeeeeeeeeee!!!!naanza kuelewa sasa...LOL
 
Kwani kukumiss ni dhambi? mwambie I miss u too

..wana jamvi habarini za leo...!!!! kuna wakati fulani niliwahi kuomba ushauri hapa, nilikorofishana na aliyekua BF wangu..nashukuru sana wana jamvi ushauri wenu umenisaidia sana kwani kwa sasa nmeweza kusimama imara na nmemtoa mawazoni japo salaam za kawaida zina exist. kituko kinakuja sasa hivi karibuni kanieleza eti "ameni-miss"..... hebu nisaidieni hapo maana anaulizwa umemiss nini anajiumauma tu....haeleweki...nimueleweje huyu kiumbe anataka kuniumiza tena? au ndo hatua za kuanza kulilia 2nd chance? sielewi...!
 
kwanini alikuacha?achana nae na umkwepe kabisa kama mwanzo alikukimbia na siku ingine atafanya tena.wanawake sijui mkoje ninyi mtu kakuacha pengine kwa dharau kabisa leo anarudi unaomba ushauri kama hutaki kujuta achana nae,ila mwisho wa siku mwamuzi ni wewe.achana nae bana
 
Tell u wat?.. Learning frm your mind, u really love dis guy, I wonder wat r u waiting 4!
4 him 2 come back n gravo? Is dat wat ur waiting 4?
Kama ungekua REAL usingeandika hii thread..
Do u wana knw wat u wana du?
Go after him n if pcble apologize 4 wat hapened n tel hm it wont hapen agn switie..
 
..wana jamvi habarini za leo...!!!! kuna wakati fulani niliwahi kuomba ushauri hapa, nilikorofishana na aliyekua BF wangu..nashukuru sana wana jamvi ushauri wenu umenisaidia sana kwani kwa sasa nmeweza kusimama imara na nmemtoa mawazoni japo salaam za kawaida zina exist. kituko kinakuja sasa hivi karibuni kanieleza eti "ameni-miss"..... hebu nisaidieni hapo maana anaulizwa umemiss nini anajiumauma tu....haeleweki...nimueleweje huyu kiumbe anataka kuniumiza tena? au ndo hatua za kuanza kulilia 2nd chance? sielewi...!

Ni kweli kabisa hujui anataka nini dadangu?
Msaidie tu kiutu uzima bana.
 
Ni kweli kabisa hujui anataka nini dadangu?
Msaidie tu kiutu uzima bana.

mheshimiwa Speaker mambo vipi kamanda? kama unakumbuka kuna siku tulikutana pale Mlimani City na nilikuwa na X GF wangu na alikua na tabia ambazo hazieleweki nikampiga chini... juzi ilikuwa birthday yangu akani wish mara akaanza kuniambia ameni miss na mambo kibao aliongea hahaaa.... hata mimi sielewi anataka nini
 
mheshimiwa Speaker mambo vipi kamanda? kama unakumbuka kuna siku tulikutana pale Mlimani City na nilikuwa na X GF wangu na alikua na tabia ambazo hazieleweki nikampiga chini... juzi ilikuwa birthday yangu akani wish mara akaanza kuniambia ameni miss na mambo kibao aliongea hahaaa.... hata mimi sielewi anataka nini

Ha ha Manyanza una nikumbusha mbali sana.
(mambo yetu ya phone tracking yale).
Ndo hivo bana,anataka ka mchezo tu akumbushie,....

Lakini mtu kama huyo si tu kwamba anataka mchezo,
anataka aku fanyie ujanja umvimbishe tumbo then uwe ume
jibebesha majukumu kwake.........USI MSOGELEE
 
Last edited by a moderator:
Ha ha Manyanza una nikumbusha mbali sana.
(mambo yetu ya phone tracking yale).
Ndo hivo bana,anataka ka mchezo tu akumbushie,....

Lakini mtu kama huyo si tu kwamba anataka mchezo,
anataka aku fanyie ujanja umvimbishe tumbo then uwe ume
jibebesha majukumu kwake.........USI MSOGELEE

umeongea la msingi sana mkuu, yawezekana anataka nimpe kitumbo halafu aanze kunikera haswaaa simkubalii
 
Back
Top Bottom