Eti walitaka kumhonga bilioni 300?

CHA The GREAT

JF-Expert Member
Nov 11, 2010
651
853
Eti Walitaka Kumhonga Bilioni Mia Tatu...?

Kwamba, yule Mheshimiwa ni mzalendo wa kweli, na alitoa nje, pale alipojaribiwa kuhongwa bilioni mia tatu! Hii haingii akili hata kidogo, haiwezekani wahujumu watake kumhonga kiasi hicho cha pesa, halafu yeye akashindwa kuchukua hatua. Kama kweli hayo yaliyosemwa na mwenezi yalitokea, basi hapa hatuna mzalendo wa kweli bali muigizaji. Nasema hivi kwa sababu, kwa nafasi yake, hao wanaoitwa wahujumu kwa jaribio lao hilo, ilitakiwa wawe LUPANGO.

Tusiongee sana hadi tukapitiliza, kwa kufanya hivyo itasababisha tuonekane waongo na wasanii hivi.

Source: Makinikia.
 
Eti Walitaka Kumhonga Bilioni Mia Tatu...?

Kwamba, yule Mheshimiwa ni mzalendo wa kweli, na alitoa nje, pale alipojaribiwa kuhongwa bilioni mia tatu! Hii haingii akili hata kidogo, haiwezekani wahujumu watake kumhonga kiasi hicho cha pesa, halafu yeye akashindwa kuchukua hatua. Kama kweli hayo yaliyosemwa na mwenezi yalitokea, basi hapa hatuna mzalendo wa kweli bali muigizaji. Nasema hivi kwa sababu, kwa nafasi yake, hao wanaoitwa wahujumu kwa jaribio lao hilo, ilitakiwa wawe LUPANGO.

Tusiongee sana hadi tukapitiliza, kwa kufanya hivyo itasababisha tuonekane waongo na wasanii hivi.

Source: Makinikia.
Hata mimi nisinge pokea hela ndogo kama hiyo!!

We endelea kuihesabu mi naenda LUMUMBA kuwambia una tatizo la kuchelewa kusikia,waliyasema majuzi ila leo ndo umesikia,inabidi wawe wanatangulia kukwambia wewe ndo media zifatie ili twende sambamba na updates
 
Hata mimi nisinge pokea hela ndogo kama hiyo!!

We endelea kuihesabu mi naenda LUMUMBA kuwambia una tatizo la kuchelewa kusikia,waliyasema majuzi ila leo ndo umesikia,inabidi wawe wanatangulia kukwambia wewe ndo media zifatie ili twende sambamba na updates
Nilikuwa nasubiri kuona hao wa makinikia wakichukuliwa hatua, sasa nimeona kimya ndiyo maana nahoji.
 
Hata mimi nisinge pokea hela ndogo kama hiyo!!

We endelea kuihesabu mi naenda LUMUMBA kuwambia una tatizo la kuchelewa kusikia,waliyasema majuzi ila leo ndo umesikia,inabidi wawe wanatangulia kukwambia wewe ndo media zifatie ili twende sambamba na updates

Kwenye somo la "apologetics" yaani "utetezi," tulifundishwa kuwa unapobishana na mtu zingatia mazingira ya hoja zake uzibomoe hapo hapo. Usiumize kichwa eti kumthibitishia nini sijui na nini. We msikilize alichosema ukibomoe hapo hapo. Ndivyo alivyofanya Thubo aliyejibu. Nimependa sana hilo jibu."Hata mimi nisingepokea hela ndogo kama hiyo." Daah! Nimecheka sana.
 
Eti Walitaka Kumhonga Bilioni Mia Tatu...?

Kwamba, yule Mheshimiwa ni mzalendo wa kweli, na alitoa nje, pale alipojaribiwa kuhongwa bilioni mia tatu! Hii haingii akili hata kidogo, haiwezekani wahujumu watake kumhonga kiasi hicho cha pesa, halafu yeye akashindwa kuchukua hatua. Kama kweli hayo yaliyosemwa na mwenezi yalitokea, basi hapa hatuna mzalendo wa kweli bali muigizaji. Nasema hivi kwa sababu, kwa nafasi yake, hao wanaoitwa wahujumu kwa jaribio lao hilo, ilitakiwa wawe LUPANGO.

Tusiongee sana hadi tukapitiliza, kwa kufanya hivyo itasababisha tuonekane waongo na wasanii hivi.

Source: Makinikia.


Mwenezi haelewi hata anachoeneza! Baada ya kuona issue ya mchanga ina ukakasi, anatafuta namna ya kuleta burning issue itakayowatoa watu kwenye mchanga!! Hakuna mzalendo hata mmoja hii nchi! Bado hajazaliwa, atazaliwa tu pale tutakapoamua kubadili fikra zetu, maana kama hatutabadili fikra zetu hatutaweza kubali chochote!
 
Enzi Za JK viongozi walikuwa WANAFUNIKANA , Sasa ivi Hamna kumfunika mwezio ila Kupitafuta KIkI tu
 
Eti Walitaka Kumhonga Bilioni Mia Tatu...?

Kwamba, yule Mheshimiwa ni mzalendo wa kweli, na alitoa nje, pale alipojaribiwa kuhongwa bilioni mia tatu! Hii haingii akili hata kidogo, haiwezekani wahujumu watake kumhonga kiasi hicho cha pesa, halafu yeye akashindwa kuchukua hatua. Kama kweli hayo yaliyosemwa na mwenezi yalitokea, basi hapa hatuna mzalendo wa kweli bali muigizaji. Nasema hivi kwa sababu, kwa nafasi yake, hao wanaoitwa wahujumu kwa jaribio lao hilo, ilitakiwa wawe LUPANGO.

Tusiongee sana hadi tukapitiliza, kwa kufanya hivyo itasababisha tuonekane waongo na wasanii hivi.

Source: Makinikia.
yule raisi wa dar nae alisema wapiga dili na wauza ngada na shisha nao walitaka kumhonga
yaani tunaendelea kuona vi-wonder si mchezo
 
Mungu niepushe na majaribu, bilion 5 mimi kila kitu kingeharibika, uzalendo Nchi ipi hiyo? Bora lawama kuliko fedhea
 
N unafk wa mchana kweupeeee ,wanatafuta tu kiki hao tushamzoea Dereva wa lorry kwa kukurupuka
 
Back
Top Bottom