Eti wake zetu ma secretary wanaliwaga na maboss wao??

mkuu mi nimeona idadi aisaidiikuna mzigo mmoja unaliwa na mang direct/comm dir/finance direct/maarketing dir/ walipojishtukia wote wanaingizwa chamboni sehemu na wakatti tofauti mwanamke akatishia kumwaga radhi mpaka kesho kaamua kkubaki na manag/tooooooopna ameolewa ana mume na watoto 2 bahati mbaya kati ya hao dirct mmoja tumemlaza pale kinondoni majuzi wiki iliopita kumradhi wahusika..ila ni sehemu ya kufundishana..dada zetutumiac&******m kwa hisani ya watu wa jfnahisi utaelewa amelala na ugonjwa gani
Inna lillahi wainna ilayhi raajiuun!
 
sam leo imeamkia upande upi??? :doh::doh:

dark bday ya mke wangu leo na miezi mitatu ya mwanangu na miaka miwili tangu ujio wa hgirl anaemtunza mwanangu baada ya milima na mambonde si bora nifurahi wacha hilo ni
 
Kuna mama mmoja jirani alikuwa anakwenda masomoni Belgium, alichofanya alimfukuza kaz h/girl aliyekuwa mbaya mbaya, akaleta chuma cha toto akakiacha na mumewe. Kabla hajaondoka alimpa h/girl somo refu kuwa usikubali 'mtu' akudanganye mfanye mpnz bila kutumia condom. Wife wangu alikuja kumdadisi kwann alifanya vile akampa jibu fupi tu 'ili baba awe anarudi nyumbani mapema watoto wasiwe wapweke sana'!!!!!

Huyu mama ni vere jiniazi! I salute her!
Je na baba akienda masomoni aajiri bonge ya handsome kuwa houseboy?
 
i know what you mean mshakaji alipanga apone kwa siku 1 tu lakini akajikuta amepanga ratiba kama wewe vile! Teh teh ..............braaaaaaaa!

mjunahisi soln ya haya nini maana unajua mi na wewe ni wachache tu waliokutana na vitmbi vya hawa wacha wakina ma,,,,na wengineo.....ambao wamekaa kimya so tutafute soln ingawa kwangu ni neema ya mungu ilinishukia
 
Shemeji Mfalila leo ulipoamkia duh........ sijui ni pale njia panda ya Rose Garden au pale RV??
Karibu ila tu nafikiri haijalishi aina ya kazi anayofanya mwanamke mwenye hulka ya kutoka nje ya ndoa haijalishi ni secretary au minister atatoka tu. So ni hulka ya mtu tu. Hivi wanaume wote ambao wana vyeo maofisini ni lazima wanatoka na wasaidizi wao?
 
mkuu mi nimeona idadi aisaidiikuna mzigo mmoja unaliwa na mang direct/comm dir/finance direct/maarketing dir/ walipojishtukia wote wanaingizwa chamboni sehemu na wakatti tofauti mwanamke akatishia kumwaga radhi mpaka kesho kaamua kkubaki na manag/tooooooopna ameolewa ana mume na watoto 2 bahati mbaya kati ya hao dirct mmoja tumemlaza pale kinondoni majuzi wiki iliopita kumradhi wahusika..ila ni sehemu ya kufundishana..dada zetutumiac&******m kwa hisani ya watu wa jfnahisi utaelewa amelala na ugonjwa gani

Kuna maneno naona yamekushinda kuandika sijajua sababu za kushinda naomaba nisaide hapo kwenye ******* inatakiwa iwe CONDOM na hapo utaelewa amelala na ugonjwa gani inatakiwa iwe UKIMWI..
 
Kuna maneno naona yamekushinda kuandika sijajua sababu za kushinda naomaba nisaide hapo kwenye ******* inatakiwa iwe CONDOM na hapo utaelewa amelala na ugonjwa gani inatakiwa iwe UKIMWI..

ndugu nanii zangu kwenye comp nikiandika hizo zinagoma nashukuru kwa hilo akaHOTEL-INDIA-VICTOR
 
Masikini9_jeuri kaka yangu aksante sana najua kiswahili chako ni cha kuniprovoke hahaha but sitareact ili usijijengee jina kwa reactions zangu lol. Aksante kaka yangu tupo pamoja
 
Mkuu Mfalila cha kwanza ni kumtreat kama binti yako mkubwa yaani unampa madaraka yale juu ya wanao; pili ni kuhakisha unapata cha asubuhi kwa mkeo na umweleze madhara ya wewe kutopata basi! Ashukuriwe Mungu kwa kukushushia neema!
 
dark bday ya mke wangu leo na miezi mitatu ya mwanangu na miaka miwili tangu ujio wa hgirl anaemtunza mwanangu baada ya milima na mambonde si bora nifurahi wacha hilo ni

Sam furahi ila angalia hizo story zako unaweza kuitiwa msiba muda wowote.

Hao mascretary wana waume zao na watoto pia. Kwa hiyo mwaga data lakini bakiza kidogo kidogo. Puliza kizenj kizenj ili walau baadhi ya wenye mali waendelee kuishi kwa matumaini. Hata hivyo, wapo wenye wake ambao siyo mascretary nao wanalizwa kwa sana. Na pia wababa ambao siyo maboss lakini wanawasha moto utadhani wanakimbia mbio za vijiti. Hakuna kanuni mkuu. Kwa hiyo hata kama ni kucheka basi tucheke kichini chini kwani hatuna immunity, tunaweza kuwa wahanga wakati wowote!
 
Masikini9_jeuri kaka yangu aksante sana najua kiswahili chako ni cha kuniprovoke hahaha but sitareact ili usijijengee jina kwa reactions zangu lol. Aksante kaka yangu tupo pamoja


kabatani kamepotea ; MJ1 nikashangaa kutokukuona nikijua umekwenda kusimamia michakato ya watangazaji nia!
 
mkuu mfalila cha kwanza ni kumtreat kama binti yako mkubwa yaani unampa madaraka yale juu ya wanao; pili ni kuhakisha unapata cha asubuhi kwa mkeo na umweleze madhara ya wewe kutopata basi! Ashukuriwe mungu kwa kukushushia neema!

mmh inapendeza lakini kama ndio una kale kagonjwa cha wasingapoooooriiivyema uanze nao asbh jion mpe mama aki yake
 
Hapana M-J mie na watangaza nia wapi na wapi siwawezi hata punje nasubiri tu siku ya uchaguzi nikaweke wino wangu tunalizane.

Bado najiuliza leo shemeji mfalila ameamkia upande gani!
 
Sam furahi ila angalia hizo story zako unaweza kuitiwa msiba muda wowote.

Hao mascretary wana waume zao na watoto pia. Kwa hiyo mwaga data lakini bakiza kidogo kidogo. Puliza kizenj kizenj ili walau baadhi ya wenye mali waendelee kuishi kwa matumaini. Hata hivyo, wapo wenye wake ambao siyo mascretary nao wanalizwa kwa sana. Na pia wababa ambao siyo maboss lakini wanawasha moto utadhani wanakimbia mbio za vijiti. Hakuna kanuni mkuu. Kwa hiyo hata kama ni kucheka basi tucheke kichini chini kwani hatuna immunity, tunaweza kuwa wahanga wakati wowote!

Duh ahsante kwa angalizo ndugu yangu....anyway huku ntakuwa natooa Thanks tupu sirudi tena ....
 
Kuna mama mmoja jirani alikuwa anakwenda masomoni Belgium, alichofanya alimfukuza kaz h/girl aliyekuwa mbaya mbaya, akaleta chuma cha toto akakiacha na mumewe. Kabla hajaondoka alimpa h/girl somo refu kuwa usikubali 'mtu' akudanganye mfanye mpnz bila kutumia condom. Wife wangu alikuja kumdadisi kwann alifanya vile akampa jibu fupi tu 'ili baba awe anarudi nyumbani mapema watoto wasiwe wapweke sana'!!!!!

Mkuu hii imenifurahisha sana, nadhani huyo mama ni realist na anawapenda sana wanae.

Lakini ni open secret kuwa maboss huwa wakichoka wanapumzika na masecretary, hata wake wa maboss hao wanajua kuwa secretary ni mke mwenza asiye rasmi. Laura Bush anajua hilo.
 
wakati huo huo mabosi wengine wanataka kupindua bosi wake huyo secreto... basi ni kupandisha madau tu.. secretari ana benzi... mtaalamu waja na job na Footsubishi!!:smile:!!!
 
wakati huo huo mabosi wengine wanataka kupindua bosi wake huyo secreto... basi ni kupandisha madau tu.. secretari ana benzi... mtaalamu waja na job na Footsubishi!!:smile:!!!

Nimeipenda hiyo FOOTSUBISHI aah imekaa vizuri! :becky:
 
Back
Top Bottom