May be nimemuelewa kidogo...nadhani anataka kupewa mahaba kabla ya zoezi ambayo ni:-
-Mtumie sms za kumuomba kisoda.
-Unapokuwa home after job, mtekenyetenye kidogo.
-Mpe busu la shavuni au popote utakapojiskia kwenye mwili wake.
-Oga naye urudipo home, na mnapokuwa bafuni, mshikeshike mwile wake.
-Mnong´onezee sikioni unahamu naye.
-kama anapenda kutizama mikanda ya X, angalieni pamoja kabla ya zoezi lenyewe.
Jaribu hayo, usipofanikiwa, you are welcome back. All the best my broda.:target:
Miwani yangu ina matatizo au naona ndivyo sivyo?
Heheheheheheee.....itabidi ai rephrase tena hiyo sentesi
Miwani yangu ina matatizo au naona ndivyo sivyo?
Khaaaaa!!!!! sasa kama unatumika 4 times a week itakuwaje? utakuwa unajiandaa kutumika kila siku ya maisha yako mkuu!!
Lakini shukuru mungu kakwambia......hawa wakikutana na vidume vinatuma msg thelathini kwa siku, vinapiga simu mara nane aua 12 hivi kwa siku, huwa wanaanza kujisikia kama ww hujui kitu!! wakipata mtu wa kuwasikiliza hata kama ni ujinga huo ndo utakuwa mwisho wa ndoa.
:confused2:
Jamani hii sijatunga. Na ninaandika humu kwasababu wife hana mazoea na JF kwahio I don't think ataiona hivi karibuni.
Jana usiku baada ya mambo yetu, wife akaniambia kuwa the last 3 times we done it hakufurahia (we have been doing it like rabits for the last 2 years!!) nikamwambia labda sababu ya ujauzito, akasema labda.
Then baada ya mda kidogo akaniuliza kwanini hatujawahi kujiandaa kama siku nzima hivi kabla ya kufanya mapenzi. :shock:
Sasa I have been doing the usual dinner preparations, shopping na hata after argument sex. Lakini hili la KUJIANDAA KABISA LIKE 24 hours kabla na mda wote ni unajiandaa kwa ajili ya tendo baadae ni mtihani REALLY!!
PLEASE PLEASE HINTS WAKUBWA!! How do I prepare a day in advance, push up? hip swaying? I have nooo fucken clue!!! YANI NAFANYA FOREPLAY 24 HOURS!!! EH!!:confused2:
Maandalizi siku nzima hamfanyi mambo mengine?kwanza hili haliwezekanai kabisaaaaa,duu how?