Eti siku hizi ananikumbuka

Nianze Kwa Kumnukuu Mtumish M1 Asiyejulikana Inch Yake!


Umelogwaaaaaaaaa!
Nilikuwa Nakuaminiaaaaa
Nikuaminiii Tenaaaaaaaa!
Umeva Pampasiiiiiii.
Umejinyeaaaaaaaa
Nautangazia Uma Kuwa Wewe Nimwenda Wazimuuuuuu!
Tena Wewe Ni Kichaa Mwenye Akili Timamuuuuuuuuuuu!
Hufai Tenaaaaaaaa

Yani Wewe Kati Ya Mabogaz Wewe Ndie Bogaz Namba1
Huo Upuuzi Unagempelekea Huyohuyo Mchepuko Wako! Hv Wewe Huna Hata Wadogo Zako Hizo Pesa Ukawa2mia Angalau Wakalipa Karo Ya Miaka M2
Kila Kukicha Mnalaum Waalm Wanarudisha Watoto Kisa Pesa Ya Dawati Wakati Kunambumbu! Wanachezea Pesa Hawana Mahala Pa Kuzifukia??????

Lakn Mtazamo2 Huo
Ila Ukweli Ni Kwamba Wewe Jamaa Ni Chiz Kati Ya Machz
 
huna akili kabisaaa kati ya wajinga wew unaweza kuws number one
 
Sijui umekula maharage ya wapiiii, nilikuwa nakuheshimu mimiii, sasa sikuheshimu tenaa,....nenda zako mzeeee,ishia zako mzeeee....
ewe sikununu usiye na akili, ni nani aliye kurogaaaaaa!!??
 
Unamaana gani ndugu...Shigongo si ndio yule mfanyabiashara ayeitwa shigongo
Unajua Sukununu hizi hadithi zako zina mafundisho lakini kuna sehemu Exaggeration inazidi
  • huwezi mhonga mwanamke aliyelabuliwa na Mhasibu mwenye hela wewe akakukataa halafu ukajikomba kumpa 500,000/ (mshahara mzima wa Mwl)
  • Mwezi February ulikuwa na Mke na akakuudhi Mke wangu ameniudhi tena leo hunaye tena ndio maana nakufananaisha na Erick bingwa wa hadithi hizi

Lakini nakupa Bravoooo kwa kuchangamsha Jukwaa
keep it up
 
Wenye pesa zao hao wanamwaga tu, endelea kumpa hizo hela lakini kumbuka huyo bado ana wanaume wenye hela zaidi yako, so kama unapenda maumivu endelea kuwa nae = kinyume chake.
 
ushageuzwa kisokorokwinyo kama sio gendaeka
 
Back in the days tunasoma gazeti la Sani'
Sikununu alikuwa mtangazaji wa mpira wa mechi za 'Born Town FC na Bush Stars'
i miss those days

Daah...those days, dumilakuwili on the action, kule lodilofa ndani ya kimkoko chake! Those days were awesome!
 

Hujielewi for sure
 

Follow ur heart we hate rubbish!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…