Eti refa akiharibu mchezo wa kesho tutamfunga!

fimboyaukwaju

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
6,622
Reaction score
9,165
Hii ni kauli ya Karia,kwahiyo siku hizi masuala ya mpira yanapelekwa mahakamani? Wakati jamaa fulani walikuwa wanapeleka kesi mahakami,si mlipiga kelele kuwa masuala ya mpira hayapelekwi mahakamani,sasa imekuwaje?
 
Wazee wakushinda 6 kwenye league ila wakifika kimataifa chalii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…