Eti nimshike kote lakini kifuani `no`

Eti nimshike kote lakini kifuani `no`

Labda unanuka mdomo "jichunguze" kifuani kwake pachunguze kuna ninii?
 
WAJAMENI JAMAA ANAOMBA USHAURI

Mimi ni kijana ambaye tangu nilipooa nimemaliza mwezi mmoja na siku mbili,awali kabla sijaoa nilikuwa na uhusiano na wasichana wawili ambao niliachana nao ndipo nikamuoa huyu niliyenaye ambaye mimi ndiye mwanaume wake wa kwanza.

Kinachonisibu hadi nimeamua niombe ushauri kwenu ni tabia ya mke wangu kutopendwa kabisaa kushikwa kifuani tunapokuwa eneo letu la kujiachia, yaani nikifanya hivyo anakuwa mkali sana na kuhamia katika kitanda kingine. Ukiacha hilo, pia hapendi tupeane mabusu,kitendo hicho kinaninyima raha ya mapenzi hadi najuta kwanini nimemuoa au nimuache ?

Nnaombeni ushauri wadau
Mambo yetu ya ndani unayaleta huku...ntakunyima hadi naniu yenyew sasa..
 
WAJAMENI JAMAA ANAOMBA USHAURI

Mimi ni kijana ambaye tangu nilipooa nimemaliza mwezi mmoja na siku mbili,awali kabla sijaoa nilikuwa na uhusiano na wasichana wawili ambao niliachana nao ndipo nikamuoa huyu niliyenaye ambaye mimi ndiye mwanaume wake wa kwanza.

Kinachonisibu hadi nimeamua niombe ushauri kwenu ni tabia ya mke wangu kutopendwa kabisaa kushikwa kifuani tunapokuwa eneo letu la kujiachia, yaani nikifanya hivyo anakuwa mkali sana na kuhamia katika kitanda kingine. Ukiacha hilo, pia hapendi tupeane mabusu,kitendo hicho kinaninyima raha ya mapenzi hadi najuta kwanini nimemuoa au nimuache ?

Nnaombeni ushauri wadau
Ndos shida ya kuuziwa mbuzi baada ya kuskia mlio. wenzio wanatest kwanza na kutikisa wavu ndo wanaoa.
 
Hapo umeingia cha kike,kama mkristo yatakukuta yaliyonikuta mimi,bora kukosea njia uelekezwa siyo mke
 
WAJAMENI JAMAA ANAOMBA USHAURI

Mimi ni kijana ambaye tangu nilipooa nimemaliza mwezi mmoja na siku mbili,awali kabla sijaoa nilikuwa na uhusiano na wasichana wawili ambao niliachana nao ndipo nikamuoa huyu niliyenaye ambaye mimi ndiye mwanaume wake wa kwanza.

Kinachonisibu hadi nimeamua niombe ushauri kwenu ni tabia ya mke wangu kutopendwa kabisaa kushikwa kifuani tunapokuwa eneo letu la kujiachia, yaani nikifanya hivyo anakuwa mkali sana na kuhamia katika kitanda kingine. Ukiacha hilo, pia hapendi tupeane mabusu,kitendo hicho kinaninyima raha ya mapenzi hadi najuta kwanini nimemuoa au nimuache ?

Nnaombeni ushauri wadau
Mkuu c ungepipiga kwanza wafike 20 ungepta angalau uzoefu but jaribu kukaa na kuongea naye kwani may b anatatizo na chuchu zake
 
Hakuna haja ya kushika.. We peleka mdomo wako uzinyonye hizo chuchu taratiibu na kwa raha zako...
 
Alichokiunganisha MUNGU mwanadam asikitenganishe, kama ukitaka kumuacha muue tu njo uchukue thumu kwangu, emoji, Emoj
 
EBANA DAAAAAAH... MZEE UMEBAHATIKA KUOA BIKRA????
NIOMBEE DUA NAMIE..
MAANA KILA DEMU NAEPATA NAKUTA USED TUU...
THIS IS BULL SHIIT

#Chief Eng

Mzoefu ndio mpango mzima hakuna kufundishana unamkuta konkodi tayar habari za kuanza kufundishana nani anazitaka?
 
  • Thanks
Reactions: ora
shake well before use. sio kwenye kwenye dawa za kimiminika na juice tu. ata kny mahusiano ya kimapenz km una nia ya kwenda na mtu to the next level.
 
WAJAMENI JAMAA ANAOMBA USHAURI

Mimi ni kijana ambaye tangu nilipooa nimemaliza mwezi mmoja na siku mbili,awali kabla sijaoa nilikuwa na uhusiano na wasichana wawili ambao niliachana nao ndipo nikamuoa huyu niliyenaye ambaye mimi ndiye mwanaume wake wa kwanza.

Kinachonisibu hadi nimeamua niombe ushauri kwenu ni tabia ya mke wangu kutopendwa kabisaa kushikwa kifuani tunapokuwa eneo letu la kujiachia, yaani nikifanya hivyo anakuwa mkali sana na kuhamia katika kitanda kingine. Ukiacha hilo, pia hapendi tupeane mabusu,kitendo hicho kinaninyima raha ya mapenzi hadi najuta kwanini nimemuoa au nimuache ?

Nnaombeni ushauri wadau
Ebu tupia picha kwanza, isiwe ana kifua kama logo ya adidas alafu bado unataka ukishike.Huo utakuwa ni uonevu maana hamna haja ya kushika kisichokuwepo.
 
Back
Top Bottom