Kwani ili tatizo liko Zanzibar tu? Mbona bara ndio zaidi na mwuungwana alikabidhiwa majina ya vigogo wanaojihusisha na hayo madawa lakini amekaa kimya mpaka leo? Sijui aliambiwa asiwachukulie hatua kwa kuwa walifund kampeni za uchaguzi zilizomwingiza ikulu?
Vita dhidi ya drug trafikkers haiwezi kufanikiwa kama vyombo vya usalama na watawala hawatakuwa tayari kutoa ushirikiano unaostahili.
Tiba