Mkami Lum
JF-Expert Member
- Feb 23, 2013
- 414
- 96
Jamaa yangu ninayefanya nae kazi alimtongoza mke wa mtu, yule mwamamke akakubali ila kwa sharti hili, aoe kwanza ndio atapata nafasi ya kumgegeda kwasababu itakua ngoma droo.
Je, kufanya penzi na mme\mke wa mtu, (wote wanandoa) kunapunguza maana ya neno usaliti?
Je, kufanya penzi na mme\mke wa mtu, (wote wanandoa) kunapunguza maana ya neno usaliti?