Eti mimi nachekesha

Eti mimi nachekesha

Sio wewe unachekesha ila mkeo anamatatizo yakucheka-cheka weka mbali na vijana....hatari sana
 
mimi na mke wangu tumekuwa kwenye ndoa ambayo ugomvi ni mara chache sana kutokea, kila tunapokuwa wote katika maongezi mara nyingi mke wangu huishia kuangua kicheko sana, anasema katikati ya maongezi kuna maneno huwa nachomeka ambayo yanamvunja mbavu sana. Mfano ni jana ambapo kuna kitu aliongea...nilipomjibu alianza kucheka mfululizo huku kila akitaka kurudia kile nilichosema, anaingia kwenye bonge la kicheko tena...mpaka akajikojolea! Nikaona nibadilishe mada lakini mwenzangu nikaona ndo kwanza anaanza kutambaa kama mtoto sakafuni, nikakimbilia chumbani akanifata, kufika akaendelea na vicheko tena huku anaachia mashuzi (anajamba), nikashtuka kuwa isijekuwa ni ishu ya kiafya, either zimemruka ndo nikaamua kuanza kumchapa makofi, hatimaye akatulia, lakini alinishtua, ila baadae akadai ni kucheka tu, haikuwa ugonjwa.
punguza mibange!!
 
Hizo ni dharau yaani mpaka anakujambia, jichunguze.
 
Mke, Mume mkapime akili.
Mimi na mke wangu tumekuwa kwenye ndoa ambayo ugomvi ni mara chache sana kutokea, kila tunapokuwa wote katika maongezi mara nyingi mke wangu huishia kuangua kicheko sana, anasema katikati ya maongezi kuna maneno huwa nachomeka ambayo yanamvunja mbavu sana.

Mfano ni jana ambapo kuna kitu aliongea nilipomjibu alianza kucheka mfululizo huku kila akitaka kurudia kile nilichosema, anaingia kwenye bonge la kicheko tena...mpaka akajikojolea.

Nikaona nibadilishe mada lakini mwenzangu nikaona ndo kwanza anaanza kutambaa kama mtoto sakafuni, nikakimbilia chumbani akanifata, kufika akaendelea na vicheko tena huku anaachia mashuzi (anajamba), nikashtuka kuwa isijekuwa ni ishu ya kiafya, either zimemruka ndo nikaamua kuanza kumchapa makofi, hatimaye akatulia, lakini alinishtua, ila baadae akadai ni kucheka tu, haikuwa ugonjwa.
 
Mimi na mke wangu tumekuwa kwenye ndoa ambayo ugomvi ni mara chache sana kutokea, kila tunapokuwa wote katika maongezi mara nyingi mke wangu huishia kuangua kicheko sana, anasema katikati ya maongezi kuna maneno huwa nachomeka ambayo yanamvunja mbavu sana.

Mfano ni jana ambapo kuna kitu aliongea nilipomjibu alianza kucheka mfululizo huku kila akitaka kurudia kile nilichosema, anaingia kwenye bonge la kicheko tena...mpaka akajikojolea.

Nikaona nibadilishe mada lakini mwenzangu nikaona ndo kwanza anaanza kutambaa kama mtoto sakafuni, nikakimbilia chumbani akanifata, kufika akaendelea na vicheko tena huku anaachia mashuzi (anajamba), nikashtuka kuwa isijekuwa ni ishu ya kiafya, either zimemruka ndo nikaamua kuanza kumchapa makofi, hatimaye akatulia, lakini alinishtua, ila baadae akadai ni kucheka tu, haikuwa ugonjwa.

Hahahaha pruuuuu papapapa hahahaha swiiiih hahaha hahaha ht mm nmecheka sana mpk nnnnn
 
Hiyo ndoa yenu mmekutana, mwambie mkeo asije akijiachia mwisho akajinyea bure
 
Mimi nikutajie pm au we ndo utaniyajia pm nikipatia?

uamuzi ni wako ila mimi nitakujibu pm kama umepatia au umekosea ukipatia hata karibu kwa mwaka mmoja nitakurekebisha hadi tarehe na mwezi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom