*USISEME KUWA HAKUNA WANAUME WA KUKUOA...!*
BUT
```YOU ARE NOT ARE LOOKING LIKE YOU ARE A MARRIABLE WOMAN...How can you risk yourself at an expired product...assuming that ineffective...```
MOST OF US WANAUME...TUNAPOANGALIA A WIFE...HATUANGALIAGI MAUMBILE...TUNAANGALIA WATOTO TUTAKAOPATA WATAJIVUNIA KUWA NA MAMA BORA AMA...
*_Wengi wetu tunajaribu kuwaangalia baba zetu kama Raw Models kutokana na jinsi walivyo mpaka leo na mama zetu...na jinsi mama zetu walivyotulea vizuri...Ndio maana PONGEZI NA SHUKRAN NYINGI ZINAENDAGA KWA MAMA...BUT TUMSHUKURU SANA BABA KWA KUCHAGUA MWANAMKE SAHIHI...!_*
Endelea kuimba hivyo hivyo...eti sijaona mwanaume wa kunioa...kumbe wewe ndio huonekani kama MKE...
*UKIONA MWANAMKE ANAONGEA..."Kwani kuolewa lazima...?"....USIMSIKILIZE MUONGO HUYO...NI KWAMBA KESHAJIKATIA TAMAA HUYO...KUTOKANA NA KUCHEZEA WAKATI WAKE...SO HATAMANIKI...!*