za asuhuhiii,nimekua nimesikia mijadala mingi humu jukwaani,kuhusu hio lugha ya malkia,sasa nilikua naomba ufafanuzi je kwa wale wa sanyansi hii lugha ni shida je kinaweza kua chazo cha kufeliii chuo au????
Tabia ya mwanasayansi ni kujisomea vitabu na vitabu vyote vimeandikwa kwa kiingereza. Hivyo utapata shida kuvielewa. Ila kama unakunywa tu madesa wala usiwe na wasiwasi
za asuhuhiii,nimekua nimesikia mijadala mingi humu jukwaani,kuhusu hio lugha ya malkia,sasa nilikua naomba ufafanuzi je kwa wale wa sanyansi hii lugha ni shida je kinaweza kua chazo cha kufeliii chuo au????
Aaaaaah wap english sio perfomance ya chuo ingawaje english ni lugha itumikayo kufundishia chuon
why
coz kuna baadhi vya vyuo kuna hadi wanaigeria ambao lugha yao ni english na hawajui kiswahili ila bado ni vilaza Na wanashika mkia tuu pale KIU nenda ukajioneeeeeee ndugu masomo ni ujanja na jinsi unauwezo wakuelewa kitu na kujibu maswal
Aaaaaah wap english sio perfomance ya chuo ingawaje english ni lugha itumikayo kufundishia chuon
why
coz kuna baadhi vya vyuo kuna hadi wanaigeria ambao lugha yao ni english na hawajui kiswahili ila bado ni ****** Na wanashika mkia tuu pale KIU nenda ukajioneeeeeee ndugu masomo ni ujanja na jinsi unauwezo wakuelewa kitu na kujibu maswal