Eti JK akishinda atamteua Lowasa kuwa PM?!

Laibon

Member
Jun 22, 2009
9
1
Wana JF naomba kutoa hoja;
Kama JK akishinda urais basi ni budi Lowawa awe waziri mkuu kwani alionewa kushinikizwa kujiuzulu.
Wote mnafahamu kuwa hakuna mtu amechukuliwa hatua kwenye RICHMOOND saga- wote wako huru wamesafishwa bungeni na hata, wanapeta kwenye wakiomba kura majimboni kwao na huenda wakashinda kwa kishindo.
Nasema hivi kwasababu ni juzi tu JK alikuwa Monduli na aliambia umma hajawahi ona mchapakazi kama Lowassa. Sasa kama rais na bunge limesafisha, JK akiingia madarakani itakuwa vyema huyu mchapakazi awepo. Lowassa ni mchapakazi,ni jasiri na mwenye maamuzi na hilo halina ubishi, tatizo kubwa ni kwamba amekula sana kuliko wenzake ndio maana hata CCM wenziwe walimkaanga bungeni, lakini si asilimia kubwa ya wana CCM na watendaji wa serikali ni walaji? Hili wote mnalikubali, sasa Lowassa ana kosa gani mbele ya wanaCCM wenzake? Eti amekula sana? Labda mikono yake ni mipana, na kinywa chake kikubwa kiasi kwamba anaweza kula chapati bila kukunja, kwanini asile sana???!
Kama JK akipita namshauri aachane na Pinda, hana ujasiri na sio thabiti kama Lowassa.

Kama wote ni walaji basi tumchague mlaji mchapakazi basi angalau tutaambulia kimoja!
Natoa hoja:eyebrows:
 
Wana JF naomba kutoa hoja;
Kama JK akishinda urais basi ni budi Lowawa awe waziri mkuu kwani alionewa kushinikizwa kujiuzulu.
Wote mnafahamu kuwa hakuna mtu amechukuliwa hatua kwenye RICHMOOND saga- wote wako huru wamesafishwa bungeni na hata, wanapeta kwenye wakiomba kura majimboni kwao na huenda wakashinda kwa kishindo.
Nasema hivi kwasababu ni juzi tu JK alikuwa Monduli na aliambia umma hajawahi ona mchapakazi kama Lowassa. Sasa kama rais na bunge limesafisha, JK akiingia madarakani itakuwa vyema huyu mchapakazi awepo. Lowassa ni mchapakazi,ni jasiri na mwenye maamuzi na hilo halina ubishi, tatizo kubwa ni kwamba amekula sana kuliko wenzake ndio maana hata CCM wenziwe walimkaanga bungeni, lakini si asilimia kubwa ya wana CCM na watendaji wa serikali ni walaji? Hili wote mnalikubali, sasa Lowassa ana kosa gani mbele ya wanaCCM wenzake? Eti amekula sana? Labda mikono yake ni mipana, na kinywa chake kikubwa kiasi kwamba anaweza kula chapati bila kukunja, kwanini asile sana???!
Kama JK akipita namshauri aachane na Pinda, hana ujasiri na sio thabiti kama Lowassa.

Kama wote ni walaji basi tumchague mlaji mchapakazi basi angalau tutaambulia kimoja!
Natoa hoja:eyebrows:
Naomba hoja hii isiendelee kuchangiwa ili kulinda Heshma ya Jukwaa pamoja na Jamvi hili. Nanukuu kutoka kwa MUTU "Mpuuzi dawa yake ni Kumpuuza". N kwa taarifa yako Hakutokua na Kikwete, lowasa wala CCM hapo october. Narudia tena "Watanzania tusicheze KAMARI tarehe 31 october".
 
Usiwe mtu wa kukurupuka - read between the lines, dont read lines! Usikurupuke kama Makamba:mad2:
 
Watz mkifanya kosa walillolifanya wayahudi la kutaka afunguliwe baraba na Yesu asulubishwe shauri yenu,leo hakuna amani mashariki ya kati kwa laana walizojitakia wenyewe.Mkombozi amepatikana kama mtamwua kwa kumnyima kura oct 31 ni juu yenu msimlaumu Mungu wala msitake awaondoe kwenye matatizo yatakapoanza baada ya kumnyima aliyetumwa kutukomboa.
 
Watz mkifanya kosa walillolifanya wayahudi la kutaka afunguliwe baraba na Yesu asulubishwe shauri yenu,leo hakuna amani mashariki ya kati kwa laana walizojitakia wenyewe.Mkombozi amepatikana kama mtamwua kwa kumnyima kura oct 31 ni juu yenu msimlaumu Mungu wala msitake awaondoe kwenye matatizo yatakapoanza baada ya kumnyima aliyetumwa kutukomboa.

ole wao mayahudi, CCM na pilato JK.
 
Wana JF naomba kutoa hoja;
Kama JK akishinda urais basi ni budi Lowawa awe waziri mkuu kwani alionewa kushinikizwa kujiuzulu.
Wote mnafahamu kuwa hakuna mtu amechukuliwa hatua kwenye RICHMOOND saga- wote wako huru wamesafishwa bungeni na hata, wanapeta kwenye wakiomba kura majimboni kwao na huenda wakashinda kwa kishindo.
Nasema hivi kwasababu ni juzi tu JK alikuwa Monduli na aliambia umma hajawahi ona mchapakazi kama Lowassa. Sasa kama rais na bunge limesafisha, JK akiingia madarakani itakuwa vyema huyu mchapakazi awepo. Lowassa ni mchapakazi,ni jasiri na mwenye maamuzi na hilo halina ubishi, tatizo kubwa ni kwamba amekula sana kuliko wenzake ndio maana hata CCM wenziwe walimkaanga bungeni, lakini si asilimia kubwa ya wana CCM na watendaji wa serikali ni walaji? Hili wote mnalikubali, sasa Lowassa ana kosa gani mbele ya wanaCCM wenzake? Eti amekula sana? Labda mikono yake ni mipana, na kinywa chake kikubwa kiasi kwamba anaweza kula chapati bila kukunja, kwanini asile sana???!
Kama JK akipita namshauri aachane na Pinda, hana ujasiri na sio thabiti kama Lowassa.

Kama wote ni walaji basi tumchague mlaji mchapakazi basi angalau tutaambulia kimoja!
Natoa hoja:eyebrows:[/QUOTE

Mtaalam nimekuelewa vizuri, uko so sarcastic kwenye hoja yako lakini naona kama kwa kufanya hivyo,
Rais atakuwa:
- amechakachua baraza lake la mawaziri!
-atakuwa amechakachua wananchi wake!
-atakuwa amechakachua heshma ya taifa kwa mataifa mengine
 
Ndugu Laibon hili la Lowasa kuteuliwa PM mbona limeshazungumzwa asa humu JF na wala sio siri.
 
kama wewe ni laibon kweli, na EL ndiye mkuu wenu ktk baraza la wazee (laibon) wa kimasai linalojulikana kama malalaigwan, basi utakuwa umeingia kwenye mkenge wa ukabila ambao kwa bahati mbaya sana kwa sasa hauna nafasi nchini tanzania.
 
Lowassa ana laana.
Nyerere alimkataa kwa sababu ya uchafu aliokuwa nao.
Na kuthibitisha kuwa lowassa ni casted person , hakudumu kwenye uwaziri mkuu.
Akiteuliwa tena sasa, atakumbwa na aibu kubwa kuliko ile ya mwanzoni.
 
Wana JF naomba kutoa hoja;
Kama JK akishinda urais basi ni budi Lowawa awe waziri mkuu kwani alionewa kushinikizwa kujiuzulu.
Wote mnafahamu kuwa hakuna mtu amechukuliwa hatua kwenye RICHMOOND saga- wote wako huru wamesafishwa bungeni na hata, wanapeta kwenye wakiomba kura majimboni kwao na huenda wakashinda kwa kishindo.
Nasema hivi kwasababu ni juzi tu JK alikuwa Monduli na aliambia umma hajawahi ona mchapakazi kama Lowassa. Sasa kama rais na bunge limesafisha, JK akiingia madarakani itakuwa vyema huyu mchapakazi awepo. Lowassa ni mchapakazi,ni jasiri na mwenye maamuzi na hilo halina ubishi, tatizo kubwa ni kwamba amekula sana kuliko wenzake ndio maana hata CCM wenziwe walimkaanga bungeni, lakini si asilimia kubwa ya wana CCM na watendaji wa serikali ni walaji? Hili wote mnalikubali, sasa Lowassa ana kosa gani mbele ya wanaCCM wenzake? Eti amekula sana? Labda mikono yake ni mipana, na kinywa chake kikubwa kiasi kwamba anaweza kula chapati bila kukunja, kwanini asile sana???!
Kama JK akipita namshauri aachane na Pinda, hana ujasiri na sio thabiti kama Lowassa.

Kama wote ni walaji basi tumchague mlaji mchapakazi basi angalau tutaambulia kimoja!
Natoa hoja:eyebrows:
ipeleke kwenye jukwaa la utani... saizi watu wako sirias zaidi
 
bwana au bibi minda- ukabila unatoka wapi hapo? Inaonekana wewe ni mkabila ndio maana reaction yako imekupelekea mawazo ya ukabila:smile-big:
 
bwana au bibi minda- ukabila unatoka wapi hapo? Inaonekana wewe ni mkabila ndio maana reaction yako imekupelekea mawazo ya ukabila:smile-big:




:eyebrows: ipeleke kwenye jukwaa la utani... saizi watu wako sirias zaidi (naungana na Acid).
 
Back
Top Bottom