Daud omar
JF-Expert Member
- Apr 4, 2011
- 2,458
- 986
Kwanza hebu ngoja ni tangulize salamu
Habari zenu wadau, hivi munajua dawa ya moto ni moto? na chuma hakikatwi bali na chuma chenza?
Hebu ngoja niende kwenye maada husika
kuna jamaa anatembea na mdogo wangu wakike wa mwisho na ndo kwnza yupo 4m4 na yey ana mke na watoto wawili na mkewe hajui kuhusu hili swala 2memkanya sana mdogo wangu nae ndo haskii la muazini wala muweka maji mskitini, shuleni anafeli hataki kusoma yani shida
Sasa jamaa amepata kazi ya udereva wa magari makubwa amesafiri inapata wiki sasa, kijana wenu kama kwaida yangu na mawazo ya kulipa kisasi nimefanya mandinga mpaka nimepata no. ya mkewe nimetupa mawe yeye kamwaga nyuki(yani kanikubalia) na "waswahili wanasema ukimla kuku wa mwenzio miguu itakurudia" leo nina appointment ya usiku na mkewe, halafu kuna mdogo wake kike amekuja kutoka mkoa kuwatembelea nae nataka kumuonesha mji kidogo, Sio kama napenda kufanya hiv ila hakuna anaependa kuona kwake kunaharibika, Au munanishauri nini wadau kabla hakuja haribika.. agghhrr!! yani dah!
Habari zenu wadau, hivi munajua dawa ya moto ni moto? na chuma hakikatwi bali na chuma chenza?
Hebu ngoja niende kwenye maada husika
kuna jamaa anatembea na mdogo wangu wakike wa mwisho na ndo kwnza yupo 4m4 na yey ana mke na watoto wawili na mkewe hajui kuhusu hili swala 2memkanya sana mdogo wangu nae ndo haskii la muazini wala muweka maji mskitini, shuleni anafeli hataki kusoma yani shida
Sasa jamaa amepata kazi ya udereva wa magari makubwa amesafiri inapata wiki sasa, kijana wenu kama kwaida yangu na mawazo ya kulipa kisasi nimefanya mandinga mpaka nimepata no. ya mkewe nimetupa mawe yeye kamwaga nyuki(yani kanikubalia) na "waswahili wanasema ukimla kuku wa mwenzio miguu itakurudia" leo nina appointment ya usiku na mkewe, halafu kuna mdogo wake kike amekuja kutoka mkoa kuwatembelea nae nataka kumuonesha mji kidogo, Sio kama napenda kufanya hiv ila hakuna anaependa kuona kwake kunaharibika, Au munanishauri nini wadau kabla hakuja haribika.. agghhrr!! yani dah!