cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,317
- 7,509
Nimesikia wanaume wanasema wanakereka na hii tabia ya wanawake;
Mwanamke hamfahamiani na mwanaume, wanakutana may be njiani, sokoni, barabarani, kwenye usafiri au kwenye mitandao ya kijamii, Mwanaume anamuomba mwanamke mawasiliano anampa bila shida.
Baada ya saa kadhaa au siku kadhaa mwanaume anaanza kumtongoza huyo mwanamke, halafu mwanamke anamkataa ama anamwambia nina mchumba au nina mpenzi haitawezekana au anamwambia "Kwani nimekupa namba ili uniambie hizo habari?
Wanaume nimekutana nao kwenye panton wanasema bora huyo mdada asimpe namba kabisa maana atajua alishakataliwa kabla, badala ya kupewa na kupokea negative
Je, ni kweli hiki kitu kinawaudhi wanaume?
Je, kwani nikikupa namba ya simu ni kiashirio kuwa utakaloniambia nitalikubali?
Mwingine akatoa kauli kuwa kwani ulinipa namba tuwasiliane kwani wewe, ni ndugu? wanaume bwana
Hebu funguka hapa, kupewa namba na mwanamke huwa ni kiashirio cha awali cha kukubaliwa utakachoenda kumwambia baadae?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke hamfahamiani na mwanaume, wanakutana may be njiani, sokoni, barabarani, kwenye usafiri au kwenye mitandao ya kijamii, Mwanaume anamuomba mwanamke mawasiliano anampa bila shida.
Baada ya saa kadhaa au siku kadhaa mwanaume anaanza kumtongoza huyo mwanamke, halafu mwanamke anamkataa ama anamwambia nina mchumba au nina mpenzi haitawezekana au anamwambia "Kwani nimekupa namba ili uniambie hizo habari?
Wanaume nimekutana nao kwenye panton wanasema bora huyo mdada asimpe namba kabisa maana atajua alishakataliwa kabla, badala ya kupewa na kupokea negative
Je, ni kweli hiki kitu kinawaudhi wanaume?
Je, kwani nikikupa namba ya simu ni kiashirio kuwa utakaloniambia nitalikubali?
Mwingine akatoa kauli kuwa kwani ulinipa namba tuwasiliane kwani wewe, ni ndugu? wanaume bwana
Hebu funguka hapa, kupewa namba na mwanamke huwa ni kiashirio cha awali cha kukubaliwa utakachoenda kumwambia baadae?
Sent using Jamii Forums mobile app